Nataka kumjua aliyekuwa RPC wa Dar kabila lake Mhaya alikuwa machachari sana

Nataka kumjua aliyekuwa RPC wa Dar kabila lake Mhaya alikuwa machachari sana

Jerry santonga

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2014
Posts
645
Reaction score
562
Wakuu leo nimemkumbuka RPC wa Dar es Salaam miaka hiyo huyu mzee alikuwa machachari sana, akikamata silaha utafurahi anavyowasilisha. Dah!

Anaitwa nani kwa anayemkumbuka?
 
Kamishna mstaafu Alfred Tibaigana
tibaigana.jpg

NEWIGPbr%204.jpg
cc:
Jerry santonga
 
hahahha mh Tibaigana anasema "yarikua yamejificha nyuma ya malola(malori) yakipambana na polisi rakini tulifanikiwa kuyashinda" ..wakati tunapeleka yakafia njiani ...hahhah mzee aikua hataki msumbuane anakutawanya tu halaf anasema ririkua likipambana na polisi tukarishinda..
 
hahahha mh Tibaigana anasema "yarikua yamejificha nyuma ya malola(malori) yakipambana na polisi rakini tulifanikiwa kuyashinda" ..wakati tunapeleka yakafia njiani ...hahhah mzee aikua hataki msumbuane anakutawanya tu halaf anasema ririkua likipambana na polisi tukarishinda..
Nzowa ananyea ndio saizi. ..
 
Jina la kwanza silikumbuko vizuri ila mwisho ni Tibaigana.
 
Kamishna wa Polisi CP Alfred Tibaigana.

'Turipambana na majambazi hayo sita, tukayajeruhi. Wakati tukiyapereka hospitali manne yakafariki njiani hivyo ni mawiri tu yariyofikishwa hospitari yakiwa hai'
Au
'Turipambana na majambazi kutoka Burundi na DR Kongo yariyoua mbwa wa porisi. Katika kurushiana risasi baadhi turiyaua, mengine turiyasaka katika nyumba za kulala wageni tukayakamata baadhi ila machache yariuawa na wanachi wenye hasira kali'

Jamaa alikuwa hacheki na kima wa ujambazi.

Watu wake wakikamata majambazi wengi wao watafariki 'wakiwa njiani kupelekwa hospitali', ni wachache wanaofika hospitali au vituo vya polisi wakiwa hai.

Majambazi walikimbia jiji kwa speed ya Usain Bolt.

ri
 
ingependeza zaidi tungepata na ka attachment hata sauti yake na sisi ambao hatukubahatika kuwahi kumsikia tufurahi wote
 
Ilikuwa kama hujampa rushwa au wizi wa kijingajinga lazima akutemeshe. Mzee alikula hela za akina Katunzi Muzamili na Msofe balaa.

Wale matapeli wote wa dhahabu feki aliwaweka mjini sana, Hawa akina Ndama na group yao na wauza unga wamempa hela nyingi sana huyu mzee.

Yeye alikuwa haelewani na wazee wa front watumia silaha Ila wazee wa white collar crime alikuwa anawazingatia maana kipindi kile jeshi kilikuwa halina teknolojia so vitengo ni vichache mtu akiiba kimtandao hawajui kitu labda taarifa ije kupitia Interpol.

Nakumbuka wakina Muzamili walimpiga mama wa kiisrael Dola kama laki mbili by that time ilikuwa mpunga mrefu sana mzee akala ganji wengine tulikuwa nyoka tu unazubaa mtaani uingie chuo kusoma.

Mzee alipostaafu na vihela vyake akaenda kwao BK akagombea ubunge wakampiga chini naona akaamua alike ndizi tu😃😃😃
 
Back
Top Bottom