Nataka Kumroga Mo Dewji aiachie Simba SC yetu mwenyewe, je nitapata wapi Mganga hatari?

Nataka Kumroga Mo Dewji aiachie Simba SC yetu mwenyewe, je nitapata wapi Mganga hatari?

Kwanza tafuta mfadhili mwingine. Au utaifadhili ww?
 
Yaani sijui ni kwanini nikiiona tu Sura ya Mo Dewji na Simba SC yangu ilivyo kwa sasa ninatamani hata Kumpiga Ngumi!!!
hana kosa MO chunguza vizuri utajua na akiondoka rafiki tajiri atakayeichukua simba
 
INASIKITISHA SANA.

Wewe ni kuwaza ushirikina ulozi na uchawi tu.

Huoni altenative nyingine yoyote kwenye maisha zaidi ya kumtegemea shetani.

MUNGU AKUNUSURU NA HICHO KIFUNGO.
Ayubu 22:21
 
Yaani sijui ni kwanini nikiiona tu Sura ya Mo Dewji na Simba SC yangu ilivyo kwa sasa ninatamani hata Kumpiga Ngumi!!!
Panda daladala hadi Manzese-bakhresa,ulizia njia ya kwenda kituo cha polisi cha tandale...Tembea kama mita mia nne hivi halafu ulizia mganga mmoja anaitwa 'MASAI'.
Huyo mama ni hatari kwa makafala kama hayo.
Wadada wengi wa mjini huwa wanaenda pande hizo...
 
Yaani sijui ni kwanini nikiiona tu Sura ya Mo Dewji na Simba SC yangu ilivyo kwa sasa ninatamani hata Kumpiga Ngumi!!!
Mkuu nenda Gamboshi kuna wataalamu kule ambao ni maarufu sana kwa wanasiasa. Lakini unaweza kupewa masharti ambayo yakakuletea balaa.
 
Mo Ndo amekuleteeni mafanikio ya Kimataifa, Kabla ya Mo mwisho wenu ilikua Round Ya Kwanza au mumesahau? Kuweni na fadhila nyinyi
 
Nadhani Mo kazeeka sasa. Mo kijana alikuwa akiona tu kocha anazingua anamtimua fasta. Sasa hivi kamuachia timu Try Again ambaye timu imemshinda kabisa kuongoza lakini cha ajabu hajamtimua mpaka leo.
 
Yaani sijui ni kwanini nikiiona tu Sura ya Mo Dewji na Simba SC yangu ilivyo kwa sasa ninatamani hata Kumpiga Ngumi!!!
Nipo; wasiliana nami pembeni tulipane upfront kabla sijatuma jini kichaa kwenda kufanya kazi yake!
 
Back
Top Bottom