GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani sijui ni kwanini nikiiona tu Sura ya Mo Dewji na Simba SC yangu ilivyo kwa sasa ninatamani hata Kumpiga Ngumi!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hana kosa MO chunguza vizuri utajua na akiondoka rafiki tajiri atakayeichukua simbaYaani sijui ni kwanini nikiiona tu Sura ya Mo Dewji na Simba SC yangu ilivyo kwa sasa ninatamani hata Kumpiga Ngumi!!!
Ya nini kuhangaika na waganga, hamia kwa wananchi furaha teleYaani sijui ni kwanini nikiiona tu Sura ya Mo Dewji na Simba SC yangu ilivyo kwa sasa ninatamani hata Kumpiga Ngumi!!!
Panda daladala hadi Manzese-bakhresa,ulizia njia ya kwenda kituo cha polisi cha tandale...Tembea kama mita mia nne hivi halafu ulizia mganga mmoja anaitwa 'MASAI'.Yaani sijui ni kwanini nikiiona tu Sura ya Mo Dewji na Simba SC yangu ilivyo kwa sasa ninatamani hata Kumpiga Ngumi!!!
Mkuu nenda Gamboshi kuna wataalamu kule ambao ni maarufu sana kwa wanasiasa. Lakini unaweza kupewa masharti ambayo yakakuletea balaa.Yaani sijui ni kwanini nikiiona tu Sura ya Mo Dewji na Simba SC yangu ilivyo kwa sasa ninatamani hata Kumpiga Ngumi!!!
Stella abidjan ilikuwa raundi ya ngapi?Mo Ndo amekuleteeni mafanikio ya Kimataifa, Kabla ya Mo mwisho wenu ilikua Round Ya Kwanza au mumesahau? Kuweni na fadhila nyinyi
Nipo; wasiliana nami pembeni tulipane upfront kabla sijatuma jini kichaa kwenda kufanya kazi yake!Yaani sijui ni kwanini nikiiona tu Sura ya Mo Dewji na Simba SC yangu ilivyo kwa sasa ninatamani hata Kumpiga Ngumi!!!