Nataka kumshtaki mmiliki wa Micasa lounge

Ushirombo

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
3,558
Reaction score
2,702
Wakuu naishi hapa karibu na Micasa lounge Riverside. Wamekua wakipga muziki kwa sauti kubwa sana,kiasi kwamba houses within 200m kutoka hapo bar tunapata shda sana.

Yaani usiku kama huu sauti iko juu kweli.Mnishaur wanasheria nataka nimpeleke kwa pilato,nafanyaje? Ushahidi naupataje?ni sheria gan kavunja?
 

wacha wenge huo mzik ndo unatufany tulewe hapo mida mibovu nakurud hostel!
 
1. jifunze kuandika kwa ufasaha ili habari yako ilete maana halisi
2.jaribu kwanza kuanza na ofisi ya serikali ya mtaa peleka malalamiko
3.zungumza na baadhi ya mnaokwazika na Sauti hiyo na wote mkaongee naye mmiliki kama yatafanyika mazunguzo
Asante
 
thank you for no. 2 and 3! Habari kueleweka inategemeana na akili yako na yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…