Nataka kumuoa aliyeachika kwa ndoa ya kanisani.

Nataka kumuoa aliyeachika kwa ndoa ya kanisani.

Civilian Coin

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
2,305
Reaction score
4,380
Ndugu zangu kuna mwanamke aliolewa katika umri mdogo na jamaa saizi ya baba yake na akafunga ndoa kanisani(pentecoste), ndani ya mwaka mmoja na nusu ndoa ikavunjika baada ya binti kujifungua na akarudi kwao. Mpaka sasa wanamiaka 4 hawako pamoja ila jamaa kaoa mke mwingine na matumizi hatoi, binti naye sasa anataka kuolewa ni meneja kampuni fulani hapa mjini, Ni memshauri akachukue talaka mahakamani ili awe huru kuolewa. je ni kimuoa ndoa itakuwa salama au mabo yatakuwa magumu sana,,,,,,jamani ananipenda sana na mimi nampenda zaidi halafu ana future sana kuliko hata niliyenaye. USHAURI WA HEIKIMA TAFADHALI
 
ah ah!kwani unaona kama ugumu utatokea wapi au kwenye swala gani?
 
"....Ana future sana kuliko nilienae....."
vizuri! Then akitokea mwengine mwenye future zaidi ya huyu alieachwa?
Embu tulia na ulienae!
Au ww ndio wale wanaonunua matatizo?
 
Mwanaume anampenda mwanamke sababu ya kipato chake, position, utajiri wa kwao etc.. huyo mwanaume ni Dume dada.. Hana tofauti na wadada wanaojiuza....

Yaani mwanaume unajiuza kwa mwanamke.. Kweli dunia imefika tamati
 
Una uhakika kama yeye ni salama? Kapimeni kwanza afya zenu. After all huyu uliyenaye ina maana unambwaga?
 
Ndugu zangu kuna mwanamke aliolewa katika umri mdogo na jamaa saizi ya baba yake na akafunga ndoa kanisani(pentecoste), ndani ya mwaka mmoja na nusu ndoa ikavunjika baada ya binti kujifungua na akarudi kwao. Mpaka sasa wanamiaka 4 hawako pamoja ila jamaa kaoa mke mwingine na matumizi hatoi, binti naye sasa anataka kuolewa ni meneja kampuni fulani hapa mjini, Ni memshauri akachukue talaka mahakamani ili awe huru kuolewa. je ni kimuoa ndoa itakuwa salama au mabo yatakuwa magumu sana,,,,,,jamani ananipenda sana na mimi nampenda zaidi halafu ana future sana kuliko hata niliyenaye. USHAURI WA HEIKIMA TAFADHALI

"...,,,,,,jamani ananipenda sana na mimi nampenda zaidi halafu ana future sana kuliko hata niliyenaye......."
kweli we bonge la ndumilakuwili. Yaani kumbe na we una mtu unataka kummwaga kwa sababu ya huyo aliyemwagwa kisa eti ana fyucha!!!!!!?????? Tamaa tu zimekujaa huna jipya. Decision tayari unayo kichwani. Hii ni taarifa tu unatoa hapa.
Ila kumbuka, huyo unaetaka kumwacha sasa hivi kwa ajili ya huu msala upitao nae atakuja kukuuacha kwa yule anaekuja for the same reasons you are using now.
Huo ni uhalisia tu wa mambo. Unataka chukua. Hutaki potezea.
 
'Shemeji yenu kila anachoambiwa na mama yake anataka iwe hivyo' ndo umeamua kumbwaga?
 
Ana future???...my bad!
Hebu tulizana bana....vihela vyake ndo vinakutoa kamasi??
what a shame....
 
Back
Top Bottom