Nataka kununua bajaj ushauri please

Aswel

Senior Member
Joined
May 1, 2012
Posts
114
Reaction score
34
Wadau naomba ushauri wenu kuhusu bajaj kama kuna model tofauti, ni ipi nzuri na inagharimu shilingi ngapi? kama kuna specification zingine naomba mnijuze kwani mim sio mtaalam wa vitu hvi. Nawasilisha
 
Bado bajaj zinalipa?. Mwenyewe nataka kununua ila naogopa biashara yake na wizi...sijui inakuwaje?
 
Inategemea na maeneo itakapokuwa inafanyia kazi na usimamiz pia
 
Asanteni viongoz kwa dondoo zenu
 
Nunua tvs mkuu@tiko tricks zimefungwa gps waweza fuatilia hata zinapoibiwa
Kuhusu wizi usiogope sana matatizo kawaida kwenye biashara jiamini mkuu mbona unaweza
Kamata fursa upigie mihela
 
Nunua tvs mkuu@tiko tricks zimefungwa gps waweza fuatilia hata zinapoibiwa
Kuhusu wizi usiogope sana matatizo kawaida kwenye biashara jiamini mkuu mbona unaweza
Kamata fursa upigie mihela

Ni kweli kiongoz ngoja tujaribu fursa hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…