Nataka kununua Benz

Nataka kununua Benz

SamuraiJack

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2017
Posts
225
Reaction score
239
Habari wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenzenu nataka kununua Mercedes Benz C180 ya 2006.
Najua kuna wenye uelewa wa hali ya juu kuhusu haya magari.

Kwa upande wa bei yake sio tatizo so far naona bei ni affordable kwa hiyo model. Ninachohitaji kufahamu ni Je Model hii spare zake zinapatikana kwa urahisi? Consumption ya mafuta? Gharama ya kuifanyia maintainance/service na common problems zake.

Asanteni.
images(1).jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera na pole.
Nimewahi kumiliki hiyo gari miaka kama 15 iliyopita.
Nilikutana na mambo yafuatayo.
1. Nilipata shida kubwa ya mafundi bora wa kulitengeneza. Nilizunguka dar yote kuanzia mivinjeni, ubungo maziwa, sinza nk mpaka kwa wastaafu wa D. T. Dobie.
Nilisumbuliwa sana.
2. Baadhi ya model za benzi spea ni za shida na ukiipata bei utakoma. Niliagiza spea Nairobi.
3. Nilipotaka kuliuza nilipata taabu mnoo. Hakuna wateja wa maana. Mpaka nilikubali kubadilishana na mtu kwa gari nyingine bado ikawa shida. Nikalikarabati niuze bei zilizokuwa zinaletwa na madalali zilikuwa chini sana.
Niliishia kulipack garage ya jamaa nikaswepa.
Mpaka leo nina kadi na gari nimeacha huko.

Ila ni gari nzuri ikiwa nzima. Ina ka heshma kake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera na pole.
Nimewahi kumiliki hiyo gari miaka kama 15 iliyopita.
Nilikutana na mambo yafuatayo.
1. Nilipata shida kubwa ya mafundi bora wa kulitengeneza. Nilizunguka dar yote kuanzia mivinjeni, ubungo maziwa, sinza nk mpaka kwa wastaafu wa D. T. Dobie.
Nilisumbuliwa sana.
2. Baadhi ya model za benzi spea ni za shida na ukiipata bei utakoma. Niliagiza spea Nairobi.
3. Nilipotaka kuliuza nilipata taabu mnoo. Hakuna wateja wa maana. Mpaka nilikubali kubadilishana na mtu kwa gari nyingine bado ikawa shida. Nikalikarabati niuze bei zilizokuwa zinaletwa na madalali zilikuwa chini sana.
Niliishia kulipack garage ya jamaa nikaswepa.
Mpaka leo nina kadi na gari nimeacha huko.

Ila ni gari nzuri ikiwa nzima. Ina ka heshma kake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh hongera sana mkuu! Umeshawahi kumiliki Benz C180 ya 2006 miaka 15 iliyopita?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilijua ni chid, chuma wa ilala, king kong

wakati ukuta.
 
Habari wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenzenu nataka kununua Mercedes Benz C180 ya 2006.
Najua kuna wenye uelewa wa hali ya juu kuhusu haya magari.

Kwa upande wa bei yake sio tatizo so far naona bei ni affordable kwa hiyo model. Ninachohitaji kufahamu ni Je Model hii spare zake zinapatikana kwa urahisi? Consumption ya mafuta? Gharama ya kuifanyia maintainance/service na common problems zake.

Asanteni.View attachment 1031950

Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo kwenye thread ya magari hayo nimekutag
 
Habari wanajamvi!

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenzenu nataka kununua Mercedes Benz C180 ya 2006.
Najua kuna wenye uelewa wa hali ya juu kuhusu haya magari.

Kwa upande wa bei yake sio tatizo so far naona bei ni affordable kwa hiyo model. Ninachohitaji kufahamu ni Je Model hii spare zake zinapatikana kwa urahisi? Consumption ya mafuta? Gharama ya kuifanyia maintainance/service na common problems zake.

Asanteni.View attachment 1031950

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu asikudanganye..hiyo ni gari makini sana..kuna moja apa nnayo ni mpya kabisa nauza bei ndogo tu sbb kuna matatizo ya kiuchumi..nicheki tuongee biashara..njoo PM nikupe namba nadhani hii gari utaipenda..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Duh hongera sana mkuu! Umeshawahi kumiliki Benz C180 ya 2006 miaka 15 iliyopita?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu,spear za benz mjini ni nyingi,tena benz haiaribiki ovyo kama unavyoongelea wewe..tunayo c200 gari hatujawahi igusa tangu itoke singapole..gari ni mpya ni kuservice tu..tunaipenda sema ndo vile tumeyumba kiuchumi inabidi tuuze..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom