PlayBoyMwema
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 1,714
- 1,829
Zipo zile za Made in Kigamboni,zilizokamatwa Sinza Madukani ni nzuri sana.Habari zenu wana JF Naomba ushauri wenu nataka kununua body spray ya kiume lakin sijui ipi ni nzuri nataka body spray isiyo na harufu kali na inayokaa muda mrefu angalau masaa 7 na kuendelea... Kama waifahamu body spray yoyote yenye sifa hizo na inauzwa bei kuanzia 5000 hadi 10000 naomba nitajie... Asanteni!!!!
ok Nakushauri ununue smart, ni nzuri sanaaa kwa wananume, sh 5000 tu na inapatika kiwepesi wap upo nikuelekekze dukani kwangu uje?Rungu Iko Poa Sana Mwananzengo
Saiv niko sumbawangaok Nakushauri ununue smart, ni nzuri sanaaa kwa wananume, sh 5000 tu na inapatika kiwepesi wap upo nikuelekekze dukani kwangu uje?
Asante nitaenda dukan kuicheki....Jaribu hii mkuu!
Mmmhh noma hiyo mkuu....Tumia Malimao na ndimu ni komesha haitoki harufu yake
Nitajie majina yake tafadhali...Zipo zile za Made in Kigamboni,zilizokamatwa Sinza Madukani ni nzuri sana.
Juz nilipomaliza kunyoa makwapan nilijisugua na limao,trust me ni poa inasadiaMmmhh noma hiyo mkuu....
Inauzwa shingapi mkuu??tumia royal blue
Mkuu hii ya malimao, sio body spray... Sema inafaha sana kama unatatizo la kunuka makwapa.... Hapo ndo mwishoo kabisaa...Juz nilipomaliza kunyoa makwapan nilijisugua na limao,trust me ni poa inasadia
Sasa limao linatoa harufu yoyote ukipaka kwapan??Juz nilipomaliza kunyoa makwapan nilijisugua na limao,trust me ni poa inasadia
Asante kwa muongozo wako...nadhani kupulizia body spry hakuusiani na kunuka kwapa, mtoa mada hajasema kama anatafta dawa ya kunuka kwapa mbona mmeenda mbari?
Inauzwa shingapi mkuu??
Wewe body spray haitakufaa mkuu....kwa hiyo bajeti nunua ndimu za kutosha na chupa ya Vinegar itakusaidia.Habari zenu wana JF Naomba ushauri wenu nataka kununua body spray ya kiume lakin sijui ipi ni nzuri nataka body spray isiyo na harufu kali na inayokaa muda mrefu angalau masaa 7 na kuendelea... Kama waifahamu body spray yoyote yenye sifa hizo na inauzwa bei kuanzia 5000 hadi 10000 naomba nitajie... Asanteni!!!!