malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Wakuu Kama kichwa Cha habar kilivyoeleza hapo juu nategemea pia kuinunua gari yamzigo 124L kichanja inayoweza pia kuwekwa bodi bomba zakupachika ikawa na matumizi mawili kichanja na Ile wanasema ya ng'ombe nishilingi ngap kwa mtu gar yenye Hali nzuri kabisa