[emoji16][emoji16][emoji16]Hii mentality kama yako ndo inafanya watu wanapigwa sana bei pale kariakoo
Mkuu density unajuaje...mnisamehe mwenzenu mshamba jamani
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Shukrani mkuuMagodoro yenye angalau ubora kidogo kuanzia density 23 ndo huwa wanaandika, chini ya hapo nunua tu ilimradi godoro na haijakidhi kipimo chochote….
View attachment 2459609
Tazama kielelezo.
Shukrani mkuu
Vipi huku hakuna uchakachuaji? Kwamba wanaweza kuandika density 23 kumbe ni chini ya hapo?The higher the density, the better the quality and durability.
Vipi huku hakuna uchakachuaji? Kwamba wanaweza kuandika density 23 kumbe ni chini ya hapo?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Tafuta namba ya tanfoam watakupa namba ya wakala wao daka godoro subiri ufe uwaachie watoto na wajukuu manake hudumu sana hayoWadau nataka kununua godoro 5 kwa 6 bei ya kiwandani inakuwaje? Kwa anaejua anielekeze please
Labda kiwanda kitakuwa kina duka lake njeAhsnte mkuu,maelezo mazuri.
Lkn kuna jamaa yangu ashawah nunua godoro 5 kwa 6 kwa bei ya 150000. Ilikuw Mwanz kna kiwanda kipo mkuyuni alinunulia hapo.
Pia ashawah nunua kiwandani kbs Dodoma hapo.huend kuna ahueni kdg kuliko dukan
Density wanaandika wapi?Tangu nijue kuzingatia density kwe uchaguzi wa godoro sipati shida tena.
Umesahau na GSM FOAM mkuu [emoji4]Mkuu sasa we unataka ilimradi godoro tu au? Hujasema unataka lenye inch ngapi pia, kwahiyo hakuna atakaekupa majibu ya kueleweka maana we mwenyewe hujaeleweka
Kwanza huwezi kwenda kiwandani kutaka godoro moja ukadhani ndio utapata Kwa bei rahisi, utakachokutana nacho hutaamini
Nenda kiwandani ukiwa na special cases, labda wewe ni mrefu sana sasa futi 6 hazitoshi so unataka futi 7 au 8 na case zingine hapo sawa
Anyway, vipimo vitabaki kuwa hivo hivo unavotaka wewe, yani 5*6 ila kila kampuni ina bei yake sio kwamba kila godoro la vipimo hivo bei ni sawa
Ukitaka DODOMA QFL kuna bei yake
Ukitaka DODOMA ONE kuna bei yake
Ukitaka FURAHA kuna bei yake
Ukitaka COMFY kuna bei yake
Ukitaka TANFOAM kuna bei yake
Ukitaka TUF FOAM kuna bei yake
Ukitaka KILI FOAM kuna bei zake
Kwahiyo wewe nenda tu sehemu wanayouza magodoro Anza kuulizia kulingana na hela yako na matakwa yako, inawezekana unataka 5*6 ila inaweza ikawa nchi 4/6/8,10,12 kwahiyo utajua huko huko
Dahh kweli bana nimesahau maana huku nilipo ni ngumu kuona GSM foam, hizo zinaonekana sana kariakoo na postaUmesahau na GSM FOAM mkuu [emoji4]
Vita supreme 5x6Magodoro yenye angalau ubora kidogo kuanzia density 23 ndo huwa wanaandika, chini ya hapo nunua tu ilimradi godoro na haijakidhi kipimo chochote….
View attachment 2459609
Tazama kielelezo.
Vita supreme zipo aina mbili ipo plain na nyingine ni draftVita supreme 5x6
Inchi 6?
Inchi 8?
Inchi 10?
Naomba kujua gharama mkuu
Vita supreme zipo 0657050325Vita supreme zipo aina mbili ipo plain na nyingine ni draft
Bei za 5x6 draft
Inchi sita ni 280000
Inchi 8 ni 320000
Inchi 10 ni 360000
Inchi 12 ni 400000
Na plain
Inchi sita ni 260000
Inchi 8 ni 295000
Inchi 10 ni 330000
Inchi 12 ni 370000
Karibu zote tunazo 0763542515
Labda maduka ya rejareja yako mbali zaidi ya kiwanda kilipoGodoro moja hadi uende kiwandani mkuu?[emoji276]ama mimi ndio sijaelewa
Yepi magodoro bora kabisa kwa mlingano kati ya hayaVita supreme zipo aina mbili ipo plain na nyingine ni draft
Bei za 5x6 draft
Inchi sita ni 280000
Inchi 8 ni 320000
Inchi 10 ni 360000
Inchi 12 ni 400000
Na plain
Inchi sita ni 260000
Inchi 8 ni 295000
Inchi 10 ni 330000
Inchi 12 ni 370000
Karibu zote tunazo 0763542515
Tanfoam ya zamani ila siku hizi wameshuka viwangoVITA SUPREME INAFAA AFYA MGONGO NA TANFOAM
Jana tu Kilimanjaro Express amewakatia watu ticket kwa 44K Moshi to Dar ambayo ni nauli ya Moshi Dar halafua anawapakia kwenya madebe ya 2006Sku zote k2 kizuri ni chenye gharama,kwahyo angalia godoro linalouzwa bei ya juu hapo hilo ni mzuri bila kujali kampuni
Chukua vita supreme ila usijichanganye kuchukua vita foam au vita raha. Chukua SUPREME.Yepi magodoro bora kabisa kwa mlingano kati ya haya
- Dodoma
- Vita
- Tanfoam
NashukuruChukua vita supreme ila usijichanganye kuchukua vita foam au vita raha. Chukua SUPREME.