Mi nakushauri jenga kwanza kibanda cha kujisetiri we na mkeo!Habari Wada!
Naomba ushauri wenye. Najua humu ni kama jungu kuu. Nataka kununua mabasi yangu mwenyewe ya mwendo kasi, niyatumie jijini DSM kusafirisha abiria.
Mabasi haya nataka kuyapitisha Katika bara bara hizi hizi za mwendokasi kwa vile naamini ni mali ya umma.
Ili kuyatofautisha na haya ya sasa hivi, yangu yatakuwa hayana rangi na pia nauli itakuwa jero tu.
Je, napaswa kuomba ruhusa wakati ni pesa yangu?
AhahahaKama uko serious nunua hisa au laa unataka kununua yako anza kujenga Barbara zako binafsi kwanza
Nani mmiliki wa UDA?Wale jamaa wa UDA na serikali. Ila barabara na vituo ni kodi zetu
Kwa nini mnakatazia barabara za umma?