Nataka kununua mabasi yangu ya mwendokasi

Slim5

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2014
Posts
28,203
Reaction score
37,906
Habari Wada!

Naomba ushauri wenye. Najua humu ni kama jungu kuu. Nataka kununua mabasi yangu mwenyewe ya mwendo kasi, niyatumie jijini DSM kusafirisha abiria.

Mabasi haya nataka kuyapitisha Katika bara bara hizi hizi za mwendokasi kwa vile naamini ni mali ya umma.

Ili kuyatofautisha na haya ya sasa hivi, yangu yatakuwa hayana rangi na pia nauli itakuwa jero tu.

Je, napaswa kuomba ruhusa wakati ni pesa yangu?
 
Mi nakushauri jenga kwanza kibanda cha kujisetiri we na mkeo!
 
Wazo lako zuri kabisa manake UDART wasipokuwa na mshindani abiria watanyanyasika hasa kipindi ambacho wataoperate wenyewe huku madaladala yakiwa yameondolewa.
 
Unataka kuwasaidia watu walioridhika kugombania hayo magari & kubambiana humo ndani?! Watakutukana bure.

Fanya investments sehemu zingine japokuwa najua hii uliyoleta ni chai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…