Jr. Gong Mira
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 1,281
- 1,300
Sawa nunua tuHabari zenu.
Kuna simu nataka kuinunua mkononi tu mwa mtu maeneo ya kariakoo
Naomba ushauri wenu wadhoefu wa haya mambo.
Una uzoefu wa kukaa lockup?Habari zenu.
Kuna simu nataka kuinunua mkononi tu mwa mtu maeneo ya kariakoo
Naomba ushauri wenu wadhoefu wa haya mambo.
Unanunua dukani au babarani vibaka?Sawa nunua tu
Kwanini mkuuWahi ni bei nzuri sana lakini ukitoka hapo hakikisha kila ndugu yako ana barua ya kukuombea dhamana mkononi
Hapana sina.Una uzoefu wa kukaa lockup?
Mtu ametangaza anauza tuUnanunua dukani au babarani vibaka?
Mimi mwaka Jana nilinunua kwa 50Niulize mimi kwanza, nilinunua kipande cha sabuni kwa 40K ...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ni miaka 10 iliopita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani pale unakuwa kama umepigwa kipapai, huelewi kinachoendelea yaniMimi mwaka Jana nilinunua kwa 50
ha ha ha tatizo hamsali na kuswali[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yani pale unakuwa kama umepigwa kipapai, huelewi kinachoendelea yani
Ila kweli hili nalo ni tatizo aseeha ha ha tatizo hamsali na kuswali
Zingine zinakuaga za wizi, utajipatia kesi hivi hivi na mtu mwenyewe anayekuuzia humfahamuHabari zenu.
Kuna simu nataka kuinunua mkononi tu mwa mtu maeneo ya kariakoo
Naomba ushauri wenu wadhoefu wa haya mambo.