Kuna msela wangu dingi yake alikua nacho hicho kisamurai,visiting day mshua wake akija nacho shule msela analala mbele kwa kuona noma,maana magari yaliyokua yanakua pale parking si mchezo,hahah
Ila kina roho ngumu sana kile kigaro,sometimes nahisi hata kinaweza kutumia mafuta ya transformer badala ya petrol/diesel hahah.
Sent from my iPhone using JamiiForums