Siyo matatizo yy ni namba 666 hujaonaHaha we una matatizo ya akili si bure
Hana majukumu,..Huyu jamaa huwa simuelewi kabisa au ndio kusoma namba!!
Ww ndo utakua mtetez wangHahahaaa!
Hahahaa! Wala usijaliWw ndo utakua mtetez wang
Muache achezee muda kwa kufikiria vitu ovyo..Hana majukumu,..
Kwa hali ya sasa unapata wapi mawazo ya kuoa Jini
Hopeless kabisa,..Muache achezee muda kwa kufikiria vitu ovyo..
Akumbe mdomo unaumba!!
Eeeeh bora ndo maana nafrahiaHahahaa! Wala usijali
Ndio nitawezaKijana unaitaji mambo mazito sana je utaweza kufata mashart ya kijin
Sana tu mwananguSafi sana huo uzi nimeuelewa ucjali pambana utafanikiwa utampata mrembo wakijini
Shukrani mkuu ngoja nijaribuNdugu HR 666
Pitia 'desa' ,kwenye hii thread, ujipatie kimwana jini: Jinsi ya kumwita jini na kumuamrisha unavyotaka awe rafiki, mpenzi au msaidizi
Kisha lete feedback kama ilivyo ada.
Kwani ni lazima unielewe?Huyu jamaa huwa simuelewi kabisa au ndio kusoma namba!!
Na wewe uliyekuja kuchangia uzi wa mtu mwenye matatizo ya akili na wewe pia unamatatizo ya akiliHaha we una matatizo ya akili si bure