Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,991 Jan 15, 2016 #1 Mume: Mke wangu kuna kitu nataka kukwambia? Mke: Kitu gani? Mume: Nataka kuoa mke wa pili. Mke: Unasemaje we mwanaharamu?! Tehe tehe tehe kilichoendelea mi sijui!
Mume: Mke wangu kuna kitu nataka kukwambia? Mke: Kitu gani? Mume: Nataka kuoa mke wa pili. Mke: Unasemaje we mwanaharamu?! Tehe tehe tehe kilichoendelea mi sijui!
Sir_Mimi JF-Expert Member Joined Jun 21, 2013 Posts 7,171 Reaction score 15,760 Jan 16, 2016 #2 Hiyo kauli yake ya mwisho ingenitosha kabisa kuongeza mke wa pili hata kama nilikuwa namtania..kwanini aniite mwanaharamu!?
Hiyo kauli yake ya mwisho ingenitosha kabisa kuongeza mke wa pili hata kama nilikuwa namtania..kwanini aniite mwanaharamu!?
Kirikou Wa Kwanza JF-Expert Member Joined May 24, 2013 Posts 3,564 Reaction score 1,991 Jan 18, 2016 Thread starter #3 Sir_Mimi said: Hiyo kauli yake ya mwisho ingenitosha kabisa kuongeza mke wa pili hata kama nilikuwa namtania..kwanini aniite mwanaharamu!? Click to expand... Unaitwa mwanaharamu sababu unataka kuongeza mke wa pili, tehe tehe tehe wanawake bana!
Sir_Mimi said: Hiyo kauli yake ya mwisho ingenitosha kabisa kuongeza mke wa pili hata kama nilikuwa namtania..kwanini aniite mwanaharamu!? Click to expand... Unaitwa mwanaharamu sababu unataka kuongeza mke wa pili, tehe tehe tehe wanawake bana!