Kuoa siyo pesa, omba Mungu akupe mke mwema mnayependana, kuheshimiana, kuvumiliana wakati wa hali zote furaha, shida. Usisahau kumshirikisha Mungu kwenye hili jambo maana ni gumu kupata mke mwenye roho ya utu, unyenyekevu. Wengi wakisikia huna kazi watakukatisha tamaa sana, ila kuonekana unaendesha gari zuri, unaamka alfajiri kuwahi foleni kwenda kazini ndiyo sifa au umaarufu wa kukupa kibali kuoa la hasha!
Amka zako mapema weka mchicha wako kwenye toroli anza kutembeza mchicha ni kazi nzuri/kipato kizuri kishicho na masimango, limit ya kufanya kazi nyingine. Nakushauri kama una mchumba endele ana process zako za kuoa. Ikikaribia tu PM tukuchangie upate mke msaidiane kwenye shida/raha zanu
Mungu akupe hekima na muongozo mwema kwenye hili swala lako la kuoa.