nina mipango ya dhati kuwa na mwenzi...
mwezi nov mwakani...
ila sina rafiki wakike ambaye niko nae kwa mahusiano ya kimapenzi
... wala mchumba mpaka sasa...
naomba ushauri wako ww mwenye uwezo wa kufikiri...
inawezekana??nipe mbinu nifanyeje...
Tafuta mchumba na mikakati yako yaweza kutimia ila kuwa makini ndugu.....usijeparamia tu kwa haraka ya ndoa!!