Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Na asali mbichi kikombe1Hongera sana mkuu.
1. Kwanza chukua magar vijiko viwili, weka kwenye sufulia yenye maji nusu lita (kwa mtu mmoja), mix nyanya mbili na chumvi.
2. Acha vichemke dakika 10, muda huo wewe unachekecha unga robo. Maji yakichemka weka unbga funikia.
3. Baada ya dakika 5 ndio uweke blueband vijiko vitatu vya chakula. Kisha funika.
4. Baada ya dakika 10 unaweza epua. Ugali wako umeiva.
UkraineWe ni muzungu wa wapi ?
Nikupe namba ya yule dada mwenye ingredients za ugali ila hajui kupika akufundishe 🤣 🤣 🤣Habarini
Leo nataka kupika ugali mlisema unatiwa blubend na Nini? naomba mnikumbushe
Nawasilisha
Mkuu mbona walinza mudaDuh kwa hio wanaume wa Dar sasa mmefikia hatua ya kula ugali wa blueband sio? Kazi ipo
Na Chumvi kiduuuchu (a pinch of salt)Habarini
Leo nataka kupika ugali mlisema unatiwa blubend na Nini? naomba mnikumbushe
Nawasilisha
😄😄 Nilikua sijui mkuu,Ndio nimeisikia leo.mkuu mbona walinza muda
Itapendeza zaidinikupe namba ya yule dada mwenye ingredients za ugali ila hajui kupika akufundishe [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ila Abby jaman, eti kufagia uwanja wa mpira.nikupe namba ya yule dada mwenye ingredients za ugali ila hajui kupika akufundishe [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Habarini
Leo nataka kupika ugali mlisema unatiwa blubend na Nini? Naomba mnikumbushe.
Nawasilisha.
=====
View attachment 2296481
Picha ya ugali kutoka maktaba
Soma maoni zaidi kuhusu kupika ugali: Jinsi ya kupika UGALI Fasta Fasta (Full Steps)