nenda upime tu kisha usitake kujua majibu, hiyo pia inatosha.
mkuu kuuza timu basi unafikiri huwa napanga....najikuta tu nimeuza within 5 months nimeshauza timu mara 3 in different timu.....pamoja na kwamba sio vimeo saaana hizo timu
Unfikiri ngoma ipo kwa vimeo basi, hao hao wanaoonekana wachamungu wametulia ndio wanaua kinyama. So we nenda tu mkuu. Ushauri kwa wanaJF wote ''Nivizuri kuishi kama waathirika''. yaani zingatieni msosi sahihi, mazoezi, social activities and rectreation, etc walahi hata hiyo ngoma ukiipata haiwezi kukusumbua utaishi nayo miaka yote na haitakusubua.
mkuu kuuza timu basi unafikiri huwa napanga....najikuta tu nimeuza within 5 months nimeshauza timu mara 3 in different timu.....pamoja na kwamba sio vimeo saaana hizo timu
mkuu kuuza timu basi unafikiri huwa napanga....najikuta tu nimeuza within 5 months nimeshauza timu mara 3 in different timu.....pamoja na kwamba sio vimeo saaana hizo timu
jamani nimekata shauri nusu nusu ila bado sijaamua mazima....nataka kupima ngoma......nishaurini.....
....kuhusu past yangu aaah maa jali huwa yanatokea ndomu kupasuka sometimes nimeuza timu sio sehemu moja........ vitu kama hivyo.....
mkuu kuuza timu basi unafikiri huwa napanga....najikuta tu nimeuza within 5 months nimeshauza timu mara 3 in different timu.....pamoja na kwamba sio vimeo saaana hizo timu
...Ushauri kwa wanaJF wote ''Nivizuri kuishi kama waathirika''. yaani zingatieni msosi sahihi, mazoezi, social activities and rectreation, etc walahi hata hiyo ngoma ukiipata haiwezi kukusumbua utaishi nayo miaka yote na haitakusubua.
Tena na kwa kasi hii ya kutafita dawa na kinga dhidi ya HIV... unaweza kujikuta unapatiwa matibabu...! Na kujikuta unapona ivi ivi...
Au unaweza kutumia njia m'badala... shwaaa kwa kakobe au yeyote aliye kukalia sawa...! Iman nayo inaponya ati!
Wacha woga dawa zipo!
Ngoja tutafute probability ya kuwa na ngoma kwanza ...
3 partners = 5 months
Kwa hiyo 3 x 12 partners = 5 x 12 months, yaani mademu 36 katika miaka 5
Assuming umeanza tabia hii miaka 10 iliyopita mpaka sasa una total ya 36 x 2 = 72 tu!
Assuming prevalence ya ngoma TZ ni 7% maana yake ushaingiza timu kusikotakiwa kwa mademu (7/100 x 72) = 5!
Risk ya kupata ngoma ukiingiza timu mara moja tu ni 0.0001, assuming huwa unaendwa chwaa, probability yako ni 5 x 0.0001 = 0.0005 au 0.05%
Kwa hiyo probability ni ndogo sana based on assumptions hizi; risk inaongezeka sana kama huwa unaingiza timu chwaaaaaaaa chwaaaaaaaaa kama mdau mmoja alivyonena hapo juu, au kama unachezea mombasa!
Baada ya hapo; ushauri - badili tabia kwanza, ukiweza ndio kapime, la sivyo uwe na sababu maalum kama hiyo ya 2010!
Hizi Probability zimekaa sawa kweli...!?
3 girls in 5 months hii ina maana kwa mwaka ni: 3 = 5/ Ȼ = 12
So: 3x12 = Ȼx5
- 36 = Ȼ5
- Ȼ= 7.2 this is average of partners per 1yr
So... kama ameanza 10 yrs back this mean 10x7.2= 72 partners.
- probability yako 0.0001 ina maana kuwa kwa kila watu 10,000 mmoja anaweza kuwa ameambukizwa.
probability hapa ni 0.0001 x 72= 0.0072
Makisio ya karibu hapa ni sawa na kusema nafasi ya kuambukizwa ni 0.01 hii ni kusema kila wanawake kumi uliotembea nao katika wale 72 mmoja anaweza kuwa ni carrier.
So nenda kapime, na zingatia ushauri wangu wa mwanzo hapo juu.
hii nimeipenda..lol!
tehe tehe sasa shem mbona umenipa majibu kabla ya kupima?Shem kumbe wewe ni muuza mechi eeehhh unapata allergy na condo*** nakushauri uwe unalala mapema, acha pombe, Msuba, fanya mazoezi, mrudie Mungu.....pima CD4 kama ziko chini ya 200 anza ART....pole sana Yo Yo!
tehe tehe sasa shem mbona umenipa majibu kabla ya kupima?
mechi kuuuza wengi tunauza bana sema wengine hawasemi hadharani......kuna jamaa mmoja alipata mlupo alikuwa njwiii....akatafuta zana zake saaafi zile za bei kubwa......kesho yake asubuhi kumbe zana alivaa kwenye kidole gumba mguuni akala kavu kavu.....alidata....
..Incase of anything nenda na taxi ili hata ukichanganyikiwa baada ya majibu uwe na usafiri wa kurudi home usije gongwa na gari bure au kukimbia ovyo barabarani kwa mshtuko,..
...πππ wazeee nimejikuta nacheka kwa sauti hapa naona hata majirani watanishangaa huko nje duuuuuuuuuuuuuh! eti ' ni vizuri kuishi kama muathirika', halafu eti ' unaweza kujikuta unapatiwa matibabu na kupona'....ha ha haaaaa....
ama kweli, hata mie woga umenitoka wa kwenda kupima kwa mara ya nne, madhali X-paster unasema dawa zipo, nami najitia kitanzini wiki ijayo...!!!
jamani nimekata shauri nusu nusu ila bado sijaamua mazima....nataka kupima ngoma......nishaurini.....
....kuhusu past yangu aaah maa jali huwa yanatokea ndomu kupasuka sometimes nimeuza timu sio sehemu moja........ vitu kama hivyo.....
Naona wengi tungefurahi kama ingetokea mtu au kampuni ika develop kamtambo ambako unakanunua na kujipima mwenyewe ukiwa chumbani kwako kimyaaaaa, majibu siri yako!
YoYo pia siku hizi ukimtia mwanamke mimba ni lazima wampime kirusi so unaweza kupata status yako kupitia kwa mwenzako, japo kuwa njia hii siyo 100% lakini unaweza kupata ma hope kidogo.