Nataka kusafirisha mizigo kwenda South Africa

Nataka kusafirisha mizigo kwenda South Africa

Liston Cosmas

Member
Joined
Mar 4, 2015
Posts
12
Reaction score
11
Habari zenu waheshimiwa,

Naomba msaada wakuu kama kuna yeyote angeweza nisaidia kunipa majina ya makampuni au dereva au hata tu msaada wa mawazo wa kusafirisha mzigo kwenda Afrika kusini. Nitakua nasafirisha mizigo mara kadhaa kwa mwezi. DHL sitaki kuwatumia kwasababu mzigo ni mkubwa kidogo na watachaji juu sana. Naombeni msaada wakuu!

Asanteni sana waheshimiwa 🙂[emoji120]
 
Unataka kwa njia ya barabara , maji au ndege ?

Kama kwa Ndege pitisha kwa cargo badala ya courier services kama Dhl na kwa hapa South African airways wana freighter (ndege kubwa ya mizigo tu mpaka Johannesburg) sema inategemea ukubwa wa mzigo ila kuanzia $ 1.90 per kg mbali na gharama za Swissport handling charges na agent atakae kusaidia kama utakuwa tayari nitafute nikuelekeze vizuri

Kwa njia ya barabara sina uzoefu sana ila kuna jamaa yangu huwa anaenda karibia mara nyingi kwa barabara kufuata matunda ya apples South Africa
 
Nifuate PM Mkuu, nitakuhakikishia Mzigo wako unafika salama na kwa wakati, pia kwa gharama nafuu..
 
Back
Top Bottom