Research Consultant
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 453
- 772
Nawasalimu wote
Nipo Ndani ya Taasisi Binafsi Iliyopo katika moja ya Mikoa ya Kusini mwa Tanzania
Tunataka kuanzisha Powerfull Jogging club katika eneo tulilopo na ilipo Taasisi yetu
Nataka Kufahamu Utaratibu Upoje kuanzia Kuisajili na Process zote mpka tutakapo pewa Ruhusa ya Kuanza as jogging Club
Kwa yeyote anayefahamu anakaribishwa kuchangia mawazo yake ili jambo hili likafanikiwe
Natanguliza Shukran
Nipo Ndani ya Taasisi Binafsi Iliyopo katika moja ya Mikoa ya Kusini mwa Tanzania
Tunataka kuanzisha Powerfull Jogging club katika eneo tulilopo na ilipo Taasisi yetu
Nataka Kufahamu Utaratibu Upoje kuanzia Kuisajili na Process zote mpka tutakapo pewa Ruhusa ya Kuanza as jogging Club
Kwa yeyote anayefahamu anakaribishwa kuchangia mawazo yake ili jambo hili likafanikiwe
Natanguliza Shukran