Kuwa makini na siku ya kwanza ya hedhi,hesabu siku 13 kuanzia siku yakwanza ya hedhi, kutana na mwanaume kuanzia hiyo siku ya 13,lengo hasa iwe siku ya 14 hadi siku ya 15! Kama uko sawa utafanikiwa juu ya hilo!
Hapana lengo hapa si kuzuia! Ila tu ni kwamba kama unataka kushika ujauzito hakikisha ndani ya hizo siku haukosi mechi,we kwenye hizo siku nyingine endelea tu hamna shida!