Nataka kusoma chuo, nianzie ngazi ipi?

Nataka kusoma chuo, nianzie ngazi ipi?

surubu kwetu

Member
Joined
May 13, 2014
Posts
59
Reaction score
12
Ndugu zangu naombeni msaada wa kunisaidia nipate chuo na nianze ngazo ipi kulingana na point zangu mm nimeitimu 2013 nikapata division four ya point 18 nilikuwa nachukua PCM physic(F) chemistry(E) maths(S) ma Gs (s) kwa upande wa olevel nilipata divisipn two physic (B) chemistry(B) civics(B) na mengine yaliyobaki C naombeni nifanyeje nipate chuo kizur na course ipi unanishaur nichukue nategemea msaada wenu ndugu
 
acha kukata tamaa, kuanzia mwaka huu na kuendelea watu wanafaulu sana mana iyo S yako ya maths ungekua mwaka huu ni D au C. So ukirisit unafaulu kaka tena 100%
 
Ndugu zangu naombeni msaada wa kunisaidia nipate chuo na nianze ngazo ipi kulingana na point zangu mm nimeitimu 2013 nikapata division four ya point 18 nilikuwa nachukua PCM physic(F) chemistry(E) maths(S) ma Gs (s) kwa upande wa olevel nilipata divisipn two physic (B) chemistry(B) civics(B) na mengine yaliyobaki C naombeni nifanyeje nipate chuo kizur na course ipi unanishaur nichukue nategemea msaada wenu ndugu
Kasome diploma ya engineering yoyote pale arusha tech tena kwa kua ulifaulu o level unapata sponsor ya serikali utalipa kidogo tuu ila ni kwa mwaka kesho sasa hivi umechelewa
 
Kasome diploma ya engineering yoyote pale arusha tech tena kwa kua ulifaulu o level unapata sponsor ya serikali utalipa kidogo tuu ila ni kwa mwaka kesho sasa hivi umechelewa
kwa hiyo nikiomba mwakan naweza kupata nafasi na hiyo sponsor ya serikali unaomba tu au kuna vigezo vinavyotolewa na serikali nisaidie nijiandae mwakan
 
acha kukata tamaa, kuanzia mwaka huu na kuendelea watu wanafaulu sana mana iyo S yako ya maths ungekua mwaka huu ni D au C. So ukirisit unafaulu kaka tena 100%
kwa hiyo unanishauri nirisiti kwan siwez kupata chuo
 
nenda udaktar ngaz ya diploma ikopoa xana, kama optometry,physiotherapy,clinical medicine, lab, radiograph, but co saiv ni mwakan,okey?
 
unaweza soma ordinary diploma ya engineering kulinga na matokeo yako ya form four na hata ya form six sio mbaya kivle science holder make sure unaapply next year utapata chuo kijana
 
Back
Top Bottom