Nataka kusoma English course nijue kiingereza cha kuongea

Nataka kusoma English course nijue kiingereza cha kuongea

BigBaba

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
1,908
Reaction score
9,040
Samahanini wadau kwa yoyote ambae amesoma English course pale British council.



Wenye idea ya hapo nataka kusoma English course, kuongea. Kuandia kiingereza naweza kukuandikia kitabu kizima insu kuongea .

1. Taratibu zikoje?
2. Ada yake imekaaje?
3. Muda wa kusoma nk
 
Google: british council tanzania, ukiingia kwenye web yao chukua namba yao ya simu waulize.

Wadau wengine mkija mtoe ushuhuda wa watu waliosoma hapo uwezo wao wa kuongea ni kweli mkubwa?
 
Google: british council tanzania, ukiingia kwenye web yao chukua namba yao ya simu waulize.

Wadau wengine mkija mtoe ushuhuda wa watu waliosoma hapo uwezo wao wa kuongea ni kweli mkubwa?

Ok
 
Back
Top Bottom