Mbagala Tz
Member
- Mar 16, 2017
- 57
- 42
Wadau wa JF,
Nahitaji kusomea udereva wa hayo mavitu tajwa hapo juu, hebu nipeni maneno mawaili matatu niende wapi na utaratibu uko vipi, na muda wa kusoma mpaka nimalize hiyo course na kupata driving license. Najua humu ndani mpo mnaojua hivi vitu au pia kwa wenye uzoefu huo nipeni mawili matatu wadau.
Mimi niko Dar hapa na sijawahi kusomea udereva wa aina yoyote ile.
Nahitaji kusomea udereva wa hayo mavitu tajwa hapo juu, hebu nipeni maneno mawaili matatu niende wapi na utaratibu uko vipi, na muda wa kusoma mpaka nimalize hiyo course na kupata driving license. Najua humu ndani mpo mnaojua hivi vitu au pia kwa wenye uzoefu huo nipeni mawili matatu wadau.
Mimi niko Dar hapa na sijawahi kusomea udereva wa aina yoyote ile.