HahahahaDah.... Kama ni mpenzi wa vurugu....muziki wa taarabu mkubwa....kunywea pombe gizani....upepo wa bahari...na majani choma.....uliza kwa Kisasi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asante, very helpful
Ningependa kujua zaidi kuhusu bei ya hotel ulizonishauri
Booking ya hotel ipoje, labda kuna link au majina ya hotel ili iwe rahisi
Thanks in advance