Nataka kutuma pesa za matumizi ya mwanafunzi India, nitumie njia ipi?

Nataka kutuma pesa za matumizi ya mwanafunzi India, nitumie njia ipi?

drilling

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
4,761
Reaction score
4,926
Naomba ushauri ya kutuma pesa India ya matumizi ya mwanafunzi bila kupitia wester union maana wana makato makubwa je kuna kampuni nyingini ya kutuma pesa India?
 
Western Union kuna ada ya kutuma tu, labda na exchanging rate zao ndio huwa ziko chini.

Afungue bank account za huko
 
naomba ushauri ya kutuma pesa india ya matumizi ya mwanafunzi bila kupitia wester union maana wana makato makubwa je kuna kampuni nyingini ya kutuma pesa india
Kuna benki za India zina matawi mpaka bongo, mtumie pesa zitafika.

Au mwambie afungue account barclays bank.
 
Naenda kesho kutwa, nipe nimpelekee mkuu

njoo nikupe umpelekee uje ulale kwangu kesho yake mimi nitakupeleka air port utakua umenisaidia sana. naishi mwenyewe tu tena mimi ni mwarabu
 
njoo nikupe umpelekee uje ulale kwangu kesho yake mimi nitakupeleka air port utakua umenisaidia sana. naishi mwenyewe tu tena mimi ni mwarabu
Unaambiwa kwa nia njema unajibu kwa kebehi. Haya mkuu
 
Mfungulie visa account ya CRDB na hii itamuwezesha kutoa hela kule kule India bila tatizo kwenye mabenki ya kule. Wewe utakuwa unamuwekea hela za Kitanzania kwenye akaunti yake ya visa akaunti ya CRDB hapa hapa nchini na kule atatoa bila tatizo.
 
Mfungulie visa account ya CRDB na hii itamuwezesha kutoa hela kule kule India bila tatizo kwenye mabenki ya kule. Wewe utakuwa unamuwekea hela za Kitanzania kwenye akaunti yake ya visa akaunti ya CRDB hapa hapa nchini na kule atatoa bila tatizo.
Tatizo hapo ni exchange rate ndo unapujwa tumia airtel money kwa kutuma pesa kuenda nje ya nchi na yenyewe poa kdgo
 
Kwa nini usitumie benki ndiyo suluhu ya kila kitu. Yeye anakuwa na visa account CRDB, wewe unaweka local money kule anatoa rupees kutokana na exchange rate. Mimi nimefanya hivyo. Mtoto wangu alikuwa anasoma China. Nenda CRDB wakupe utaratibu wote.
 
Naomba ushauri ya kutuma pesa India ya matumizi ya mwanafunzi bila kupitia wester union maana wana makato makubwa je kuna kampuni nyingini ya kutuma pesa India?
Mwambie afungue canara bank wanarate nzuri sana..Sema hao jamaa ni hatari sana wanapolicy ngumu sana kutoa hela kwao kuliko kuingiza,almost impossible.
 
Mwambie afungue canara bank wanarate nzuri sana..Sema hao jamaa ni hatari sana wanapolicy ngumu sana kutoa hela kwao kuliko kuingiza,almost impossible.
Kwahiyo unaweza kumtumia pesa kwenda nje ila yeye awezi kukutumia?
 
Kwamba ukituma kupitia airtel money inafika kwenye mobile money za huko au unatuma from airtel to benk za huko
Mwanzo nilicomment tu.

Nakushauri tumia
MoneyGram, western union au worldremit.
Mbwembwe zingine achana nazo utapoteza pesa bure
 
Kwahiyo unaweza kumtumia pesa kwenda nje ila yeye awezi kukutumia?
Ni ngumu sana kutoa hela India kwenda nje especially kwa foreigner na kuna wabongo wameanza kuwa mawakala nasikia ukitaka hela huku anakuwa na mtu wake anakupa yeye unampa kule.
 
Back
Top Bottom