Haiwezekani kazi zooote za Designing, Printing zing'ang'niwe tu na akina Hanne Kemcho!
kwa Mabilioni ya Mashilingi ....wazalendo wenzenu Hatimaye tumeamkia walikolalia magaba-chor.
Wallah ingia hapa: zerubabelli@yahoo.com uone bei za kutupa kwa Designing and Printing ZOTE.
Nakwambia watarudi Bombay
hapo kwenye black unaposema ingia hapa unamaanisha nini...?!!
Wakati na Majira ya wazawa kumiliki Uchumi wetu.. Uwadie mara ngapi?..This is the Time to arise and shine
...huko Jamana..sijui Patel printers kuna nini cha ajabu? .akina Kemcho Lazima waishie Punjab wallah
we ingia hapa zerubabelli@yahoo.com
lakini hata wao wahindi pia ni wabaguzi, mtu akinipiga kofi simgeuzii shavu la pili, najitetea kwa njia yoyote ile, maandiko yanasemala usidhulumu wala usidhulumiwe, la tathlimoona wala tuthlamoona!Ndio ujumbe wako usingefika mpaka uongeze chembe chembe za kibaguzi au?
lakini hata wao wahindi pia ni wabaguzi, mtu akinipiga kofi simgeuzii shavu la pili, najitetea kwa njia yoyote ile, maandiko yanasemala usidhulumu wala usidhulumiwe, la tathlimoona wala tuthlamoona!
Aah, ni wewe? Habari za Mabwepande, au kwani uko wapi?Kwanza sio Wahindi wote wabaguzi, kwa hiyo kukejeli,kushambulia ama kushutumu Wahindi wote hakuna uhalali wowote.
Pili, sioni vipi unajitetea kwa kueneza ubaguzi wakati wa kutangaza biashara yako.
Tatu, kabla hujakatiwa fatwa hapo ni la tadhlimuna wa la tudhlimuna
Aidha, mimi amenivutia kama mteja manake amenionyesha atani treat tofauti na nilivyozoea Wahindi, na soko kubwa ni la wazawa, wahindi wachache wataokimbia tangazo lake watapunguza kikombe baharini.
Well, nimesema Wahindi, sikusema Wahindi wote, ni wabaguzi, kama ambavyo tunasema Wajerumani wa nchi ya Hitler wabaguzi, bila ku specify wangapi, japo tunajua hawakuwa wote.
.........Season for Wazawa to take Full possession is Now....Full stop.
yaani we ingia hapa: zerubabelli@yahoo.com