Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Una uzoefu na biashara unayotaka kufungua?
^^
Mkuu pamoja na kwamba hujasema unatamani kuwa na mtaji wa sh. ngapi ili kuanza hiyo biasharaHabari zenu!
Jamani mimi nina business idea, ambayo tayari nina kila kitu upande wa paperworks na marketing strategies, kwa maana kwamba nina uhakika kampuni itasimama. Shida ni kwamba sina mtaji, hivyo nikafikiria nimrudishe home kwanza mke wangu ambaye pia ni mjamzito, akajifungulie huko na kusubiri mambo yangu yakae sawa,. Plan yangu ni kuuza kila kitu cha ndani kwangu halafu nihamie tu kwenye single room bei chee, kisha niache na kazi ili nichukue mafao yangu baada ya miezi 3, nikijumlisha hizo pesa inatosha kununulia vifaa vya kazi na kurent ofisi mjini, mnanishaurije? niko Arusha.
Jerry mwandishi wa habari pingu na bastola vyanini, pingu haziuzwi popote bongo bastola sawa waweza sema ulinzi wake haya risiti hana na imekutwa loaded.
Hapo ndipo kwenye utata, Inawezekana jamaa wanataka kumfanya victim kwa kisasi, lakini hilo swala la mtu kumiliki pingu inakuwaje? Ni yule mzee wa Bagamoyo alisema kuwa Muro anamiliki Bastola na Pingu (kwa mujibu wa Kova), na kweli walimkuta navyo hivyo na amekubali kuwa ni vyake, sasa bunduki ni sawa ila Pingu inakuwaje? Jamaa yupo kwenye utata ingawa jamii inaona kuwa ni kisasi
Swali la kizushi tu; Hivi huyo mkeo unamrudisha kijijini ili kupunguza stress ya ujauzito wake kwako au ni kukupisha ufanye ufisadi wako asikusumbue?
Uja uzito wa mkeo na kutaka kuuza vyombo vya ndani ukakae uswazi wapi na wapi? Sema unataka kuhama mji ili umkimbie mkeo na mtoto ukajifiche kusikojulikana wala si mtaji.
Mbuyu haukuanza kama ulivyo bali ulianza tu ka mchicha vile. Leo, haung'olewi kwa jembe la mkono. Biashara haianzi kwa mtaji mkubwa bali kwa wazo kidogo tu lililo buniwa vizuri, likaanzwa vizuri na mwishowe likawa kuubwa.
Usimsumbue mkeo, tayari ana hitaji saana ushirika wako. Siku hizi, tumepewa ruhusa kwenda naye mpaka pale mlango wa labour (Leba) tusubiri atuletee kichanga chetu tukakilee na yeye mpaka kikue tukiwa pamoja si yeye akae kijiji nasi tusage kitaa. Hayo ni mawazo potofu.