Gtt
Senior Member
- Apr 22, 2017
- 128
- 123
Habari zenu wana jukwaa la sheria
Niende kwenye mada moja kwa moja mwezi mmoja wiki kadhaa zilizopita kuna mtu nilifanya nae makubaliano ya kununua biashara yangu kwa kiasi cha milioni 4 na tukaandikishana akanipa milioni mbili kwanza na nyingine angenipa trh 20 mwezi huu kisha nimuachie ile biashara. Ila sasa moyo wangu umegoma kuuza hii biashara yangu nataka nivunje huu mkataba na nimrudishie pesa yake, je anaweza kunishitaki na kudai fidia?
Tuliandikishana serikali za mtaa.
Asante sana.
Naweka barua ya makubaliano.
Niende kwenye mada moja kwa moja mwezi mmoja wiki kadhaa zilizopita kuna mtu nilifanya nae makubaliano ya kununua biashara yangu kwa kiasi cha milioni 4 na tukaandikishana akanipa milioni mbili kwanza na nyingine angenipa trh 20 mwezi huu kisha nimuachie ile biashara. Ila sasa moyo wangu umegoma kuuza hii biashara yangu nataka nivunje huu mkataba na nimrudishie pesa yake, je anaweza kunishitaki na kudai fidia?
Tuliandikishana serikali za mtaa.
Asante sana.
Naweka barua ya makubaliano.