Nataka kuvunja ndoa yangu na ndoa ya baba mkwe, naomba ushauri wako kabla janga halijatokea

Kabla ya kuoa ni muhimu pia kuangalia aina ya familia?yaani mama mkwe unaanza kumzoea mkwe wako namna hiyo?
Mimi mmewangu hutumia simu yangu kuwasiliana na mama yangu na namba anayo akini hawezi kumpigia kivyake ,na kwa jinsi anavyomheshimu kabla hajaongea naye anajipanga utasema ni mtu anafanya interview
Nyie mmefika mbali sana,yaani ujue mchi unaomtwanga binti yako?kwetu ni laana
 
Ingekuwa ni stori ya kweli ningekushauri usimle mama mkwe wako ila na yeye mwambie meseji zenu unazo na utamwomyesha binti yake jinsi anavyokutishia kukutangaza. Ila kwa kuwa ni Chai basi mkuu fanya unachoona moyo wako unakwambia
Una akili sana mkuu,, kumbe na ww umeona,, halaf jf sijuw Kwa nn wana hii tabia ya kutuletea uongo hum,, et utishiwe Sasa anachokutishia s ndo ushaidi tosha au unataka nn Sasa? We mule utaona kitakachotokea hutoboi nakwambia, tusubil mlejesho,usiache kuleta.
 
Ni miaka miwili sasa.
Tunaomba updates mkuu.
 
Piga show wewe acha uzembe au nikaimishe duniani tunapita kuna wenzetu wana na bikira 72 au nawe ni wa huko maana ambao hatujaambiwa yaani unakula sasa hivi huko juu hakuna tena
 
Mkuu wewe ni mtu mzima na unajua mbivu na mbichi, cha msingi amua utaachoona kinafaa ila usisahau kutuletea mrejesho kama utajaaliwa uzima baada ya utachoamua.
Akimla aende kwenye uzi wa kula tunda kimasihara akashushe episodes au aje aeleze hapa hapa ?
 
Kula tunda kimasahara,
shida hizo chats ni robo ya kumla , cha kufanya mtafune tu Ubaya Ubwela mwingi
 
mtafune sana na mtembelee kwa mpalange pia,mie nikifanya na ni poa tu,na fanya siri mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…