mkuu umenifungua,
nikweli nahitaji kuwa wakala wa taasisi yeyote ambayo inatoa services, mimi nina ofisi ya uwakala wa kuuza vocha za jumla na huduma za e-money kwenye duka ambalo nimeipanga ofisi vizuri sana, sasa nataka hata kama hizo za BOT sawa, bima, brela, etc sijajua naanzaje na nauliza wadau mnipe any other service oriented firms ambazo nitakuwa wakala wao. nipo mikoani. karibu kwa mchango mkuu.