Nataka kuwa machinga wa kike ushauri

beauty in me

Senior Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
161
Reaction score
134
Habarini wajasiliamali

Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nataka nianze biashara ya umachinga naombeni ushauri biashara gani inatoka sana huko mitaani hasa maeneo ya mjini kama kariakoo kwa mtaji wa elf 20

Mimi niko mkoani Arusha
 
ile biashara kongwe kabisa, wala hauitaji mtaji, tayari unao.
 
Habarini wajasiliamali

Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nataka nianze biashara ya umachinga naombeni ushauri biashara gani inatoka sana huko mitaani hasa maeneo ya mjini kama kariakoo kwa mtaji wa elf 20

Mimi niko mkoani Arusha
Tembeza vivalio
Au accecories

Tembeza michezo ya watoto

Tembeza visandles vya kike

Tembeza nguo za ndani za wanaume kwa wanawake na watoto

Tembeza samaki waliokaangwa

Tembeza nguo za watoto za mtumba

Vingine nimesahau.
 
Tembeza vivalio
Au accecories

Tembeza michezo ya watoto

Tembeza visandles vya kike

Tembeza nguo za ndani za wanaume kwa wanawake na watoto

Tembeza samaki waliokaangwa

Tembeza nguo za watoto za mtumba

Vingine nimesahau.
Mkuu wazo lako zuri!lakin mtaji wake ni elf 20 tsh!
 
Mkuu wazo lako zuri!lakin mtaji wake ni elf 20 tsh!
Hereni kipakti ni 1000tu

Cheni
Bangili za kuanzia za 10,000 zinatosha
Box ni bure
Spongi/kigodoro ni bure

Samaki kg 3500
Mafuta lita 3500
Karai hawezi kukosa
Mkaa/kuni nyumbani
Beseni nyumbani
Vimfuko 1000 tu

Chupi za kike kuna pack ya6,000 na kuendelea anachukua hata mbili za kuanzia

Nguo za watoto mtumba
500 mnadani
 
Kama una ujasiri pia amka asubuhi nenda ilala
Chukua nyanya,vitunguu
Dagaa,
Nyanya chungu
Bamia
Karoti
Limao/ndimu

Pita mitaani mpaka saa sita umefunga hesabu
Ilala sehemu gani?
 
Habarini wajasiliamali

Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nataka nianze biashara ya umachinga naombeni ushauri biashara gani inatoka sana huko mitaani hasa maeneo ya mjini kama kariakoo kwa mtaji wa elf 20

Mimi niko mkoani Arusha
ni pm nikupe nikuwezeshe pasipo riba ndugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…