Nataka kuwa wakala wa biashara ya magari mtandaoni, naomba ushauri

autonomius

Member
Joined
Jun 24, 2016
Posts
12
Reaction score
10
Wakuu naomba ushauri ajira nataka nikajaribu kuomba dili kwenye yard za magari niwe natafta wateja kwa kupost picha na specifcation zake

....then nikpata mteja nampeleka wakipatana nakatiwa percent kidogo...maana ajira ngumu...naomba ushauri kwa wenye uzoefu na biashara ya mtandaon......AHSANTEN
 
mkuu wazo zuri njoo inbox tubadilishane mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…