Wana jf, Mimi ni mjasiliamali mdogo mwenye mtaji unaokaribia millioni 10, nataka nibadili biashara hii nifanyayo na kuanza kuuza gas za ORYX au Lake gas. Kwa kweli sifahamu taratibu zozote za kufuata niweze kuuza hii product kutoka kwenye kampuni hizi. Mwenye ufahamu cha kufanya anijuze plz.