Nataka kuwashitaki Tanesco

laun

Senior Member
Joined
Sep 5, 2011
Posts
111
Reaction score
26
Nina nia ya kuwa-sue tanesco nawadai 150,000 walinunua stationaries kwangu kwa mkopo ;ukijumuisha gharama za usumbufu na interest ,naweza lipwa shilingi ngapi wadau ?
Nimekuwa nikizungushwa tuu kila siku.
 
walinunua kwa LPO au ilkuwa ni tender?
 
Sio tender na hakukuwa na lpo ila tuliwauzia waka-sign delivery

haya tena

mliwauziaje, cash au credit ? ina maana unakwenda kudai kwa kutumia delivery note, kama huna doc nyingine inayoonyesha njia ya mauzo/manunuzi ilivyofanyika wala usipoteze muda wa kuwashitaki
 
haya tena

mliwauziaje, cash au credit ? ina maana unakwenda kudai kwa kutumia delivery note, kama huna doc nyingine inayoonyesha njia ya mauzo/manunuzi ilivyofanyika wala usipoteze muda wa kuwashitaki

Ok kuna invoice na delivery ,walikopa on the condition dat payment will be made after issuing invoice
 
Ok kuna invoice na delivery ,walikopa on the condition dat payment will be made after issuing invoice

kama walikopa je una credit note ya aina yeyote, anyways huyo aliyekopa sijui kama alifuata utaratibu lakini inaonyesha mlikua mnafanya hivyo siku za nyuma

nahisi utalipwa kwa ucheweleshwaji, kwa nini usivumilie tuu kwani mashitaka utakayofungua itakuwa ni kesi ya madai
 

Nimevumilia na huu ni kama mwaka wa 3 na inaelekea kama hawataki kulipa ,
 
Nimevumilia na huu ni kama mwaka wa 3 na inaelekea kama hawataki kulipa ,
wako biz wanakusanya fedha za kuilipa dowans,na inawezekana wanachukulia kama ni sehemu ya mchango wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…