Hatar kiongozi ,mm Ela naek NMB,CRDB,EQUITY,NBC. izo zilizobaki CJUI diamond,e commerce,kmc,finca ,znaweza filisika mda wowote na muhusika kwenda kulilia chooni😅😅😅hapo ndo mtahani mkuu
[emoji847][emoji847][emoji847] wanasema uwoga wako ndio umasikini wako hizi 14% ndo zanitoa roho wakati Nmb wao 6%Hatar kiongozi ,mm Ela naek NMB,CRDB,EQUITY,NBC. izo zilizobaki CJUI diamond,e commerce,kmc,finca ,znaweza filisika mda wowote na muhusika kwenda kulilia chooni[emoji28][emoji28][emoji28]
Nenda Tawi lililopo karbu kajiridhishe , kuhusu uimara wa bank , hyo bank siyo ya kufilisika Leo wala kesho , ilistahimili kipindi cha Maghufuli sembuse hzi awamu za upigaji, kama gap umelisoma changamka fursa , ni moja ya bank maarufu Sana hapa tz[emoji847][emoji847][emoji847] wanasema uwoga wako ndio umasikini wako hizi 14% ndo zanitoa roho wakati Nmb wao 6%
nataka kujiripua kwa mwaka 1 tu nibebe milion 7 zao nisepeee nirudi NMB...
hakika mkuu nitafanya ivyo nitarudi na mrejesho hapa hapa jamviniiNenda Tawi lililopo karbu kajiridhishe , kuhusu uimara wa bank , hyo bank siyo ya kufilisika Leo wala kesho , ilistahimili kipindi cha Maghufuli sembuse hzi awamu za upigaji, kama gap umelisoma changamka fursa , ni moja ya bank maarufu Sana hapa tz
Habari wakuu,
Nina seving yangu ya milion 50 nataka kuweka finca fixed deposit nasikia wanatoa riba ya 14% kwa mwaka tofauti na bank nyingine wao hutoa 6%...
🤣🤣🤣. Ungesikia kwanza proposal Mkui. Au ndio mambo yasiwe mengi?hapana mkuu
Sio mtaalamu wa masuala ya kifedha , lakn nachojua Bank zote Wana kiasi BOT , ambacho kinalinda amana za wateja , endapo bank itaflisika.hakika mkuu nitafanya ivyo nitarudi na mrejesho hapa hapa jamvinii
je ikitokea bank imefilisika ndo kama yale ya karinda cjuw kayndaa
Walimu wamepigwa sanaa...muache ajaribu aoneee[emoji1787][emoji1787]Weka uliwe kichwa [emoji276]
nimekusoma mkuu ngoja nifatilie bank zalizofilisika hapa tanznaia what happened behind b.o.t and bank memberSio mtaalamu wa masuala ya kifedha , lakn nachojua Bank zote Wana kiasi BOT , ambacho kinalinda amana za wateja , endapo bank itaflisika,serikali itaitaifsha , ili kulinda amana za wateja , Yani BOT haiwezi kuruhusu bank kuoperate katika mazingira ambayo bank haiwez hata kurudisha pesa za wateja ndo mana kuna wakat bank huwa zinafungwa , kulinda hyo issue