Nataka kuwekeza kwenye kilimo cha nyanya

Sumu Boy

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2017
Posts
206
Reaction score
217
Kwema wadau!
Nina kama M 1 nataka kuwekeza kwenye kilimo cha nyanya ila sina uzoefu sana kwenye hiyo mambo kama kuna muelewa anayefahamu kilimo hicho anipe mwanga nisije ingia choo cha kike.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…