Nataka kuzalishwa, mtoto nitalea mwenyewe.

Acha ubinafsi wewe, think of what is good for the kid and not for you!!!! Think of children's rights, right to know, right to be loved by both parents, rights to be raised with mtu mwenye maadili, maana sasa kama wewe uko tu tayari kuzalishwa tu LI MRADI rangi ni nyeupe, oh, my friend, kama hiyo rangi ya juu imeficha addiction kama drugs, alcoholism, etc...hiyo wewe hujali kama ina effect kwa mwanao? Duh, watoto si property yetu, they are their own people' so I advice you to repent and relent with what you want to do. Plus kwangu mimi ni kejeli kutaka tu rangi ya mtu; you are ashamed of your own colour? HIvi ushajiuliza what is beneath the skin, and if there are any differences between black and white people in terms of what lies inside? Kwanza hakuna mtu mweupe wala mzungu, colour is a racist creation to put one race down....white is like ream paper na hakuna bunadamu mwenye rangi hiyo, and of black I reserve my comments....black was given to Africans because it was associated with evil, barbarism, backwardness etc.....so be careful
 
Tafuta wasomari wako wengi tu wanakwenda msyumbiji watakupa mtoto wa rangi mchanganyiko.
 
Hapa ndioopo dada zetu wanapochemka na kuwa na akili kuliko za kuku wa kisasa, umeshalea before? unadhani kulea mtoto ni sawa na kulea vifaranga? wee mama sijui umekuja lini duniani but be careful, yaani mkitaka ndoa au watoto you dont give your brain a vacant to think twice? mmmhh haya
 
Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.

Pole mdogo wangu. Kama unataka mzungu, mie nipo. Mimi ni Mhaya lakini nina rangi ya kizungu. Tukutane wapi nifanye kazi hiyo na malipo ni kiasi gani?
 
Wajameni Hasninnyo anachohitaji ni ushauri, endaeleeni kumshauru vizuri dada yetu kabla mambo hayajaharibika.Nimegundua humu wengine wanamshauri vizuri,amependa hata mie nimependa lakini wengine wanamjadili mtoa mada na kushambulia,Lengo lake ni ushauri wana jf
 
Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
Kwani yaliyokusibu ni yapi ndugu yangu? huyo mtoto si atakosa upendo wa baba kwa kudhamiria kabisa maana wengine huwa inatokea bahati mbaya? kwanini usamue basi kuolewa na huyo mzungu/mwarabu/mhindi nk ili uzae na mlee watoto wenu, just ushauri tu mamii
 
ahsante. Sihitaji upendo wala sh 10 yako. Mi mtoto tu ila chotara.

Ikitokea kweli ukapata Mzungu au mbegu zake, lakini mtoto akatoka mweusi kama wewe (assuming you are mweusi) au asiwe chotara kama unavyotaka na keshazaliwa utafanya nini?
 
Pesa si kitu jali malezi ya wazazi wa mtoto wako hata kama ulilelewa na single parent, umuzi wako unaweza kuujutia baadae, kama unataka half cast Muombe Mungu atakupa mume wa kukuoa then uolewe rasmi, Mungu akusaidie sana
 

Naona kama umejali zaidi mzazi kuwa na fedha, kama ulivyosema huko nyuma kuwa fedha , elimu unayo. Lakini mimi nadhani Husninyo kikubwa hapa ni upendo na malezi kwa hao watoto. Watakusamehe wakijua baba alitupenda lakini hakuwa na fedha, mbona wazazi wetu wengi wako hivyo, hawakuwa na fedha lakini unaona kabisa walitupenda.
Mimi skubaliani na utashi wako wa kuzaa lakini mtoto asijue baba, ila kama unazaa na mtoto anamjua baba yake sioni ubaya ila uolewe!
 

Mbona kama unataka gonga ikulu Amoeba!!
 
Je ukipata mzungu,halafu ukatoka na dume jeusi kama wewe ?
 
Ninadhani wewe una matatizo. Huyo chotara unamtaka kwa manufaa gani? Kwani sisi watanzania hatufai? Au unataka chatora ili uonje mtwangio wake. Naomba unijuze.
 
Pole sana dada yangu sina la kukushauri, maana naona kimaadili you are bankrupt.
 
Hi, Baby i think i can donate the sperm as you wish and that will be my contribution to the TZ population. Tuwasiliane, usihifu
 
Kwanini usitafute HB wa ukweli kama mimi hapa coz Avatar hii ndo real mimi nikakupa watoto unaohtaji coz mimi mwenyewe sihitaji kuoa.
MUNGU kanijalia kuzalisha mabinti watoto machotara. So ur lucky ma friend,if nid me jus let me know.

Napenda kuwa na mtoto chotara (half cast), natafuta mzungu nizae nae ila akishanipa mimba asiwe na habari na mimi wala mtoto. Nitalea mwenyewe. Awe tayari kupima magonjwa yote ya kuambukiza. Ushauri plz kabla cjaingia kwenye dating sites za kizungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…