Husninyo kama ni mtoto kwanini ukafanye uasherati wa makusudi kabisa? Kisha uje mdanganya huyo mtoto kuwa ulimuokota au baba yake alikimbia au alikufa. Hapana
Nakushauri ili usijikwaze wewe mwenyewe na hata Mungu tafadhali adopt mtoto kwa specifications unazotaka wapo wa aina zote tu!
kama ni half caste wa kizungu inaweza kusumbua kidogo kupata, sababu wazungu hua hazai ovyo ovyo, kwa ushauri wangu jichukulie mchina wako mmoja zaa nae vichina viko kibao kkoo, sinza, na vimezagaa kila pande. Changamkia mchina upate vya kichina.
Kama ni half caste wa kizungu inaweza kusumbua kidogo kupata, sababu wazungu hua hazai ovyo ovyo, kwa ushauri wangu jichukulie mchina wako mmoja zaa nae vichina viko kibao kkoo, sinza, na vimezagaa kila pande. Changamkia mchina upate vya kichina.
Husninyo dia,ni kweli watoto wa kichotara wanapendeza,ila umefikiria kwa makini kuhusu hili. I hop yuo wont regret later in case atakuwa tofauti na matarajio yako.
What if dominant character ya mtoto ikitoka kwako na ya mzungu ikawa recessive? Will u hate the kid kwa kuwa traits za kizungu hazijaonekana?
Plz think and think before you act.
Hii style ya machangu wa bongo kupenda kuzaa na wazungu hata kama ni taahira ili mradi tu mtoto chotara inashika kasi sana. Sitaki kusikia huu ujinga na upuuzi yaani Mungu alieweka natural way ya kujamiiana u
Binadamu apate mtoto mnamwona mjinga. Kuuingiziwa bomba na mbegu za watu walioathirika na madawa ya kulevya au mlevi wa kupindukia mnaona mnaeenda na waakatiii.
We dada lazima utakuwa na bwana mzungu, alafu hana uwezo wa kuzalisha yawezekana ni mbabu.. ila yawezekana anapesa ndo sbb inayopelekea kufanya hivyo. kwa nn nasema hivyo! mimi nishakutana na case kama hiyo unajua mm na asili fulani ya rangi nyeupe sasa nilishakutana na mdada fulani alijenga mazoea ya haraka kwangu alitumia kila gharama kuhakikisha nam**** kweli alifanikiwa ila i used ndom, but alilazimisha 2pime ngoma kisha tufanye nyama kwa nyama, nikamwambia tatizo c ngoma tu hata mimba. ilibidi awe mkweli ni nini anataka na hata hivyo akunieleza kwamba anahitaji mtoto kwa ajil ya kumpa mwingine, nilifahamu kwa rafki yake.
i know kidogo about genetics. Sitoregret hata kama mtoto atafanana na mimi. Mi mwenyewe nalipa. Ha ha ha!
mzungu unakalia kigogo kwa nyuma karibu na mburahati,lol
mzungu kichaa!