Nataka kuzalishwa, mtoto nitalea mwenyewe.


Adoption na sperms bank, the whole procedure costs more than getting to know the person and agreed on issue. Evethought I don't agree with you but I respect your decision mummy!
 
We dada lazima utakuwa na bwana mzungu, alafu hana uwezo wa kuzalisha yawezekana ni mbabu.. ila yawezekana anapesa ndo sbb inayopelekea kufanya hivyo. kwa nn nasema hivyo! mimi nishakutana na case kama hiyo unajua mm na asili fulani ya rangi nyeupe sasa nilishakutana na mdada fulani alijenga mazoea ya haraka kwangu alitumia kila gharama kuhakikisha nam**** kweli alifanikiwa ila i used ndom, but alilazimisha 2pime ngoma kisha tufanye nyama kwa nyama, nikamwambia tatizo c ngoma tu hata mimba. ilibidi awe mkweli ni nini anataka na hata hivyo akunieleza kwamba anahitaji mtoto kwa ajil ya kumpa mwingine, nilifahamu kwa rafki yake.
 
Husninyo nakutakia kila lakheri kwenye mpango wako huo kabambe
 
Hii style ya machangu wa bongo kupenda kuzaa na wazungu hata kama ni taahira ili mradi tu mtoto chotara inashika kasi sana. Sitaki kusikia huu ujinga na upuuzi yaani Mungu alieweka natural way ya kujamiiana u
Binadamu apate mtoto mnamwona mjinga. Kuuingiziwa bomba na mbegu za watu walioathirika na madawa ya kulevya au mlevi wa kupindukia mnaona mnaeenda na waakatiii.
 
When babies become an accessory............
 
Husninyo dia,ni kweli watoto wa kichotara wanapendeza,ila umefikiria kwa makini kuhusu hili. I hop yuo wont regret later in case atakuwa tofauti na matarajio yako.

What if dominant character ya mtoto ikitoka kwako na ya mzungu ikawa recessive? Will u hate the kid kwa kuwa traits za kizungu hazijaonekana?

Plz think and think before you act.
 
Kama ni half caste wa kizungu inaweza kusumbua kidogo kupata, sababu wazungu hua hazai ovyo ovyo, kwa ushauri wangu jichukulie mchina wako mmoja zaa nae vichina viko kibao kkoo, sinza, na vimezagaa kila pande. Changamkia mchina upate vya kichina.
 
kama ni half caste wa kizungu inaweza kusumbua kidogo kupata, sababu wazungu hua hazai ovyo ovyo, kwa ushauri wangu jichukulie mchina wako mmoja zaa nae vichina viko kibao kkoo, sinza, na vimezagaa kila pande. Changamkia mchina upate vya kichina.

mhhhhh, i see..
 
Kama ni half caste wa kizungu inaweza kusumbua kidogo kupata, sababu wazungu hua hazai ovyo ovyo, kwa ushauri wangu jichukulie mchina wako mmoja zaa nae vichina viko kibao kkoo, sinza, na vimezagaa kila pande. Changamkia mchina upate vya kichina.

mmh mamushka! Si unajua products za kichina hazidumu.
 

i know kidogo about genetics. Sitoregret hata kama mtoto atafanana na mimi. Mi mwenyewe nalipa. Ha ha ha!
 

duuh!
 

siwezi kubadilisha ulichokifikiria ila naweza kukipinga. Sio kweli hata kidogo.
 
ni pm usijali . ntakupa unachotaka mamie
 
i know kidogo about genetics. Sitoregret hata kama mtoto atafanana na mimi. Mi mwenyewe nalipa. Ha ha ha!

thats gud. Nilikuwa na hofu kuwa u have big expectation sasa ikitokea vinnevyo utakuwa disappointed kitu ambacho kitakufanya umuone mtto kama adui yako.

Mi nna kachotara kangu ka (kiiraqwi) kimbulu! Kasweeet.....
Hahaaaaaaa,nikupe nn!
 
Dhu yaan siamini huupendi uafrica/ black kiasi hicho. Huyo chotara badae utamwamiaje akihitaji kufahamu babake?
 
mzungu kichaa!





Anachotaka yeye ni mzungu hayo ya mzungu kichaa yanatoka wapi,kwani mzungu kichaa anageuka mwarabu na sio mzungu tena?May be nenda kule introduction forum unaweza kuona unachokoza mtu wa aina gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…