Mke wangu ananitesa
Member
- Jan 14, 2025
- 43
- 85
Nenda YouTube,fungua life in Fiji Utakuja kunishukuru!Katika kupambania life nimeamua kuingia kiwanjani nataka nikatafutie Fiji nataka nijue kwa upana fursa za uko, usafiri mpaka uko, maradhi na gharama za maisha kutoka kwa experience za watu mbalimbali waliowahi fika uko au wanajua mengi kuhusu uko.
##Toka magheton, ingia kiwanjani
Kwanini umechagua kwenda Fiji sio nchi nuingine ili nikupe ushauri zaidi.Katika kupambania life nimeamua kuingia kiwanjani nataka nikatafutie Fiji nataka nijue kwa upana fursa za uko, usafiri mpaka uko, maradhi na gharama za maisha kutoka kwa experience za watu mbalimbali waliowahi fika uko au wanajua mengi kuhusu uko.
##Toka magheton, ingia kiwanjani
VIsa free na watalii weng nikijiongeza natoka haraka, vilevile elimu ipo stakosa hata kazi ya ualimu ukoKwanini umechagua kwenda Fiji sio nchi nuingine ili nikupe ushauri zaidi.
Kaka kwanza hongera, pili kuhusu makazi Yani vyumba uko vya Hali ya chini kwa mpambanaj vinaweza kuwa shingapUtakula samaki wabichi asbh mchana na jioni, nyama hakuna
Tulishaenda kwenye kongamano la kikatoliki
Mkuu mm mwenyw npo kama mwarab watanzia wapChangamoto wahindi wengi kule. Utaweza kuvumilia ubaguzi?
Mmh hapo umechemsha kule kuna blacks wale wakale bado wana vita za ukoo wengi wanakimbila Australia kupata green pasture Tanzania iko vixuri × 5 ya hiyo nchi kuna kundi kubwa maisha yao nikama wahzabe hapo .VIsa free na watalii weng nikijiongeza natoka haraka, vilevile elimu ipo stakosa hata kazi ya ualimu uko
😀😄Mke wangu ananitesa
Ndiyo unayetaka kumkimbia mkuu?