Nataka kwenda Jamaica, niagizie bidhaa yeyote ya biashara

mangonjoli

Senior Member
Joined
Aug 29, 2012
Posts
154
Reaction score
110
Nataka kwenda Jamaica wadau kama kuna anayejua naweza kununua biashara gani huko itakayorudisha angalau nusu ya gharama za safari yangu anisaidie .
 
Kuuliza akati unajua utakachojibiwa na upompa katika level ya PhD. mangonjoli
 
Last edited by a moderator:
Daah saizi Jf watto wengi ivi shule bado awajafungua
 
Nataka kwenda Jamaica wadau kama kuna anayejua naweza kununua biashara gani huko itakayorudisha angalau nusu ya gharama za safari yangu anisaidie .


Mkuu kwa jamaica niletee Bangi tu nasikia ya huko nzuri sana
 
Jamaica sio bangi na ndizi tu. Wana viwanda vidogo vizuri.Pamoja na kuwa na soko huru bado bidhaa za Jamaica zinashindabega na bidhaa za nje. Mfano, huku Colgate, lux nyingine nyingi za ulaya zatamba kule hazioni ndani. Viwanda vya consumer goods vya Jamaica no vizuri sana sio kama vyetu.
Mzee mwenzangu unae taka kwenda Jamaica, kuna bidhaa nyingi bora kuliko huku tatizo ni bei. Bidhaa zao in za kimarekani za ulaya na za Jamaica yenyewe ni-high quality hivyo ni vigumu kuuza huku kwani bei zao ni kubwa. Kule hakuna bidhaa za China.
Kama wataka biashara basi fanya contact t na mwenyeji wako akutafutie soko la mawe ya thamani kama tanzanite, ruby etc. Pia itakua rahisi katika uchukuzi.
Traditional african dresses hasa za akin a mama waweza kuuza.
 
Mimi ninao marafiki kadhaa ambao niwajamaica. Naona wakinunua vitu used hapa nchi tunayoishi na kusafirisha kwenda kuuza kwao. Tena vimizigo vyenyewe ni vidogo vidogo kama nguo barrel moja au mawili. Taswira wanayonipa nikwamba Jamaica sawa na bongo.

Sitaki nikukatishe tamaa labda waweza pata cha maana
 
Jamaica sio sawa na bongo. Patio lao ni kubwa(UN economic indicator). Pamoja ya kuwa na pop ya million 2.5 matumizi ya umeme ni sawa na Tz. Mishahara ni mikubwa kuliko sisi. miaka mitatu ya nyuma mwslimu wa diploma alikua anachukua kama dola 1200( Ualimu kule unalipa vibaya). Mitumba sijui utamuuzia nani. Wenyewe wanapenda sana show up hivyo wanavaa kwa fashion na logo.
Kitu cha ajabu cha Jamaica ni jinsi nchi ilivyokosa barabara na plan za miji. Jamaica ni upper middle income country lakini Barbara ni mbaya na miji imejengeka vibaya. Na ndio sababu ina maghetto mengi.
Jamaica ni kama dump. Takataka zote zinauzwa kule, tofauti na sisi takataka zao so za kichina- high quality.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…