King mkucha Member Joined Oct 14, 2016 Posts 89 Reaction score 70 Jul 28, 2019 #1 Ni kijiji gani kizuri naweza kwenda kondoa kukaa kwa miezi miwili ambacho umeme bado ni shida maana nataka kupata experience ya maisha ya kijijini
Ni kijiji gani kizuri naweza kwenda kondoa kukaa kwa miezi miwili ambacho umeme bado ni shida maana nataka kupata experience ya maisha ya kijijini
Mwifwa JF-Expert Member Joined Apr 3, 2017 Posts 48,474 Reaction score 125,866 Jul 28, 2019 #2 Kondoa Irangi
Saoka JF-Expert Member Joined Oct 23, 2018 Posts 441 Reaction score 643 Aug 1, 2019 #3 Aise nilikuwa napitaga ile road ya kondoa to dom town..,nawaona wanawake wa kirangi pembeni wakiwa wamejiremba fresh kwa shungi Zao ila kiukweli inaonesha kuwa kondoa ni sehemu ambapo wanawake wake wanajitunza nmno na ni wazuri Sana
Aise nilikuwa napitaga ile road ya kondoa to dom town..,nawaona wanawake wa kirangi pembeni wakiwa wamejiremba fresh kwa shungi Zao ila kiukweli inaonesha kuwa kondoa ni sehemu ambapo wanawake wake wanajitunza nmno na ni wazuri Sana
Rhz4567 JF-Expert Member Joined Mar 16, 2018 Posts 4,893 Reaction score 6,599 Aug 1, 2019 #4 Karibu Sana Kuhusu warembo ondoa Shaka wapo wa kumwaga
MBUGHUNI KIDAISHO Member Joined Sep 9, 2019 Posts 47 Reaction score 22 Sep 10, 2019 #5 Naomba kupata rafiki mzaliwa wa kondoa, awe mwanaume au mwanake umri usipungue miaka 35. Mimi mwanaume! Dhumuni ni kujenga urafiki na undugu pia. 0755102030
Naomba kupata rafiki mzaliwa wa kondoa, awe mwanaume au mwanake umri usipungue miaka 35. Mimi mwanaume! Dhumuni ni kujenga urafiki na undugu pia. 0755102030
MLEVi Mmoja JF-Expert Member Joined Jun 29, 2019 Posts 8,514 Reaction score 15,050 Sep 10, 2019 #6 Nainokanoka Ngorongoro crater
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Sep 10, 2019 #7 Kila la kheri... Cc: mahondaw