wakuu naomba mwenye kujua eneo wanalokodisha kwa kilimo cha kitunguu kwa umwagiliaji kwa kuwa nina pump ya inchi tatu na msimu utakuwa mwezi gani pia kama itawezekana nipeni gharama za kukodi na za uendeshaji kwa heka moja .asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.