Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 244
- 491
- Thread starter
-
- #21
ajira mkuumkuu unateka kwenda kufanya shughui gani? Biashara au Ajira?
IT ni nzuri hasa kama umefanya specializing, Lingusenguse ipo mkoa wa Ruvuma, Namtumbo hapa hapa Tz, beach yetu ni mto ruvuma karibu mno uje uangalie fursa
SA hakuna maisha nduguyanguSA ata mm niliwai pafikiria ila sasa ile xenophobia mixer operation dudula ilinitisha sana
ajira mkuu
NichekMi nataka niende SA ....michongo hasa kwa jinsi ke
Mkuu ulifika mauritus.Habari zenu wanajukwaa,nna mpango wa kwenda Mauritius kusaka life, naomba wenyeji wa huko mnipe habari mbali mbali zinazohusiana na nchi hiyo hasa katika masuala ya uchumi- ajira na biashara na mambo mengineyo.
hii bongo ni ngum sana ata uwe na elimu gan bdo shida tu.
karibuni wenyeji