Nataka kwenda Nairobi kibiashara.

akilimali Tb

Member
Joined
Sep 19, 2018
Posts
16
Reaction score
12
Wadau nijuzeni natarajia kusafiri muda so mrefu najiuliza je Pesa nachenjiwapi? Naje benk za Kenya ukiingia na kadi ya Tz unapatahuduma?
 
Wadau nijuzeni natarajia kusafiri muda so mrefu najiuliza je Pesa nachenjiwapi? Naje benk za Kenya ukiingia na kadi ya Tz unapatahuduma?
Kama unapitia border ya Namanga pesa utabadilishia ofisi za Immigration Namanga ya Kenya ....Lakini pia kuna wasomali upande wa Kenya wako boda pale ndo kazi zao hizo na rate zao ziko poa sana
 
Wadau nijuzeni natarajia kusafiri muda so mrefu najiuliza je Pesa nachenjiwapi? Naje benk za Kenya ukiingia na kadi ya Tz unapatahuduma?
Nebda bank of Africa nairobi utapata huduma zote, usisubutu kutembea na pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…