Nataka kwenda vitani kujitolea kuisadia Ukraine 🇺🇦, je nifuate utaratibu gani?

Nataka kwenda vitani kujitolea kuisadia Ukraine 🇺🇦, je nifuate utaratibu gani?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Nikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia 🇷🇺 nchini Ukraine 🇺🇦.

Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine 🇺🇦 aliyoiingia kimabavu.

Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine 🇺🇦.

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Hatua ya kwanza….
30bc05b6-f965-4534-be75-e349cba56a43.jpg
 
Nikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia 🇷🇺 nchini Ukraine 🇺🇦.

Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine 🇺🇦 aliyoiingia kimabavu.

Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine 🇺🇦.

Natanguliza shukrani za dhati.

Heri wewe mkuu kuliko wale mburumundu wanaoshabikia vita kana kwamba yanayoendelea ni mazuri, wanaokufa ni halali yao wakiwamo wanawake na watoto.

Afanyaye cha aina ya alichokifanya Putin, awe ni Bush, Amini au yule wa Ethiopia mtu huyo ni mwovu wala si pungufu ya hapo anachostahili si pongezi bali kutiwa adabu vilivyo.

Putin anastahili kukabiliwa si kuchekewa.
 
Kweli kabisa, Putin asichekewe.
Kumkalia kimya ni janga kwa dunia
Heri wewe mkuu kuliko wale mburumundu wanaoshabikia vita kana kwamba yanayoendelea ni mazuri, wanaokufa ni halali yao wakiwamo wanawake na watoto.

Afanyaye cha aina ya alichokifanya Putin, awe ni Bush, Amini au yule wa Ethiopia mtu huyo ni mwovu wala si pungufu ya hapo anachostahili si pongezi bali kutiwa adabu vilivyo.

Putin anastahili kukabiliwa si kuchekewa.
 
Nikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia 🇷🇺 nchini Ukraine 🇺🇦.

Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine 🇺🇦 aliyoiingia kimabavu.

Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine 🇺🇦.

Natanguliza shukrani za dhati.
Unipitie hapa Sinza mori
 
Nikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia 🇷🇺 nchini Ukraine 🇺🇦.

Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine 🇺🇦 aliyoiingia kimabavu.

Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine 🇺🇦.

Natanguliza shukrani za dhati.
mpigie simu abubakar shekau wa bokoharam, anaijua njia vizuri atakuelekeza
 
Back
Top Bottom