Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Nimetumwa na familiaBuji buji kashiba
Nikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia π·πΊ nchini Ukraine πΊπ¦.
Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine πΊπ¦ aliyoiingia kimabavu.
Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine πΊπ¦.
Natanguliza shukrani za dhati.
Mkaldayo Bana yani hivyo videmu vina kupagawisha? Ungejuwa matako yao flat na madogomadogo kama machungwaHatua ya kwanzaβ¦.
View attachment 2131841
Heri wewe mkuu kuliko wale mburumundu wanaoshabikia vita kana kwamba yanayoendelea ni mazuri, wanaokufa ni halali yao wakiwamo wanawake na watoto.
Afanyaye cha aina ya alichokifanya Putin, awe ni Bush, Amini au yule wa Ethiopia mtu huyo ni mwovu wala si pungufu ya hapo anachostahili si pongezi bali kutiwa adabu vilivyo.
Putin anastahili kukabiliwa si kuchekewa.
Umekula kande ukashiba.Nimetumwa na familia
Duh.... kwa hiyo wewe ni kipusa?Wewe ni nyara ya Serikali,kwa hiyo hutaweza kuruhusiwa kwenda huko.
Wewe wasemaUmekula kande ukashiba.
Unipitie hapa Sinza moriNikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia π·πΊ nchini Ukraine πΊπ¦.
Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine πΊπ¦ aliyoiingia kimabavu.
Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine πΊπ¦.
Natanguliza shukrani za dhati.
Kamanda Asiyechoka ni kada wa CCM aliyetumwa kuisakama CHADEMA.Muone kamanda asiyechoka atakupa mchongo!
mpigie simu abubakar shekau wa bokoharam, anaijua njia vizuri atakuelekezaNikiwa kama mkazi wa sayari hii tuliyo rehemishwa na Mwenyezi Mungu tuikalie kwa haki, amani na usawa, nina laani uvamizi wa Russia π·πΊ nchini Ukraine πΊπ¦.
Siishii tu kulaani na kukemea uvamizi huo, bali kwa hiari yangu na ridhaa ya familia yangu, tukiwa kama watetezi wa wanyonge, wanaoonewa, familia yangu imenituma niende mstari wa mbele wa mapambano, nikashike bunduki kumuondoa Mrusi ndani ya mipaka ya ardhi ya Ukraine πΊπ¦ aliyoiingia kimabavu.
Ndugu wana JamiiForums, naomba mine muongozo wa namna gani nitaweza kuyafikia malengo ya familia yangu ya kuwa askari wa hilarious wa Ukraine πΊπ¦.
Natanguliza shukrani za dhati.