Nataka mfanyizia mbaya, naombeni ushauri wenu.

kwani maandishi ya kiarab yana nini maria si ni lugha tuu au vipi??
Chukua kikaratasi andika maandishi ya kiarabu hata kama hujui kuyaandika wewe koroga tuu halafu kishonee na kitambaa cheusi na kidondoshe kibarazani kwao ila saikuone haha haha nakwambia watahama mtaa lol :heh::heh::heh:
 
Una uhakika na huyo Swity wako? Angalia yasije kukurudia wewe.
 
Vipi mzee umezidiwa mapigo nini hadi uanzishe visa kwanza kwa mwanaume aileti picha nzuri
 

Huyo swty ni nyumba ndogo, mke au mchumba wako?
 
I really dont think you should do anything to him, but you should do something to your sweetie,

she is afterall your sweetie, so palilia mapenzi yako kwake usimfuatilie huyo kwa visa kama hivyo,

unajua huu ni uswahili kupita kiasi na kama mpaka vizazi vya sasa vinafanyiana visa vya mikwara pori kama hichi chako, hatutofika.....
 
Mbona ukimwendea tu uso kwa uso na kujitambulisha kuwa wewe ni fulani kwa anayemsumbua na hata hivyo umemsikia kuwa msumbufu kwa sweety wako ataacha.....? Hata na kuhama mji anaweza.....!
 
dawa ya moto ni maji. Muonyeshe kuwa umegundua mchezo wake halafu play cool,utampa psychological torture itakayompa adabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…