Mkuu hawa watu hawana urafiki na masikini, na kibaya zaidi watachukua muda hadi kutoa hiyo hela.Cc CRDB, Equity Bank etc
Vitu vya nyumbani kwangu vina thamani kubwa zaidi ya hiyo hela kwa hiyo utakuja kuviona kwangu na tutaandikishana.Kwa dhamana ipi?
Nina kiwanja tegeta ingawa bado haina hati. Zaidi nina vitu ndaniSema collateral yko
Vitu vya ndani havitoshi?Bila colateral ni ngumu kupewa pesa.
Unngeuza hivyo vitu then uje kuvinunua upya ukishapiga mpunga wako..mVitu vya nyumbani kwangu vina thamani kubwa zaidi ya hiyo hela kwa hiyo utakuja kuviona kwangu na tutaandikishana.
Huyo wa kuvinunua fasta namtoa wapi na kwa bei gani? Unaweza kuuza kwa bei ndogo mwisho wa siku unajikuta pale pale.Unngeuza hivyo vitu then uje kuvinunua upya ukishapiga mpunga wako..m
Kuna tenda nimepewa na kampuni fulani hapa Dar, naomba yeyote anayeweza kunipa milioni 3 anitafute kwenye hii namba 0673341873, nitarudisha milioni 3.5 kwa muda wa wiki tatu.
This is what I wanted to advise, tatizo collateral ni ipi? Ana meet zile 5Cs?????Peleka tender documents na dhamana yako benki yoyote watakupa mkopo kwa riba ndogo kuliko hiyo laki 5; hatuna appetite ya kutapeliwa hapa jamvini.