Mshinga
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 3,532
- 1,126
kama kuna mwanamke atakayenizalia watoto kuanzia 55 basi aje atakuwa wife.
nataka awe kama Nee Leontina Albina wa Agentina aliyezaliwa mwaka 1926 na kuolewa mwaka 1943 na alizaa watoto 55 waliokuwa wameandikishwa wote japo alidai kuwa na wengine 9 zaidi ambao hakuwazalia pale mana pale alihamia tu.
maana yake umri wa ninaemutaka licha ya kuwa tayari kuzaa 55 anatakiwa kuwa na umri wa 1943-1926=17yrs old,kwa maana nyingine anatakiwa kuwa msichana mbichi.
Najua chini ya 18 ni ubakaji, lakini kuna sheria ya ndoa inayoruhusu msichana kuolewa miaka 14 chini ya makubaliano ya wazazi wake,kwa hiyo sheria hiyo itanisaidia.
MWENYE VIGEZO WAUNGWANA.
nataka angalau na mimi nitajwe guiness world record kupitia wife wangu.
nataka awe kama Nee Leontina Albina wa Agentina aliyezaliwa mwaka 1926 na kuolewa mwaka 1943 na alizaa watoto 55 waliokuwa wameandikishwa wote japo alidai kuwa na wengine 9 zaidi ambao hakuwazalia pale mana pale alihamia tu.
maana yake umri wa ninaemutaka licha ya kuwa tayari kuzaa 55 anatakiwa kuwa na umri wa 1943-1926=17yrs old,kwa maana nyingine anatakiwa kuwa msichana mbichi.
Najua chini ya 18 ni ubakaji, lakini kuna sheria ya ndoa inayoruhusu msichana kuolewa miaka 14 chini ya makubaliano ya wazazi wake,kwa hiyo sheria hiyo itanisaidia.
MWENYE VIGEZO WAUNGWANA.
nataka angalau na mimi nitajwe guiness world record kupitia wife wangu.